HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Kama kawaida yaoArsenal charged by FA over the players' reaction to Skelly redcard
Kama kawaida yaoArsenal charged by FA over the players' reaction to Skelly redcard
Huyo arsenal haijamfuata kabisaStriker wa kuja Arsenal nikamkubali ni Gyokeres
Anaweza kuja akaflop, alikuwa Championship huyo.Striker wa kuja Arsenal nikamkubali ni Gyokeres
Arsenal imemzunguka refa. Hichi kitendo ni kosa.Arsenal charged by FA over the players' reaction to Skelly redcard
Reiss NelsonKuna kipindi Arsenal ilisemwa tunamtaka Buendia mimi pia niliunga mkono, ilikua ni kipindi ambacho tunahitaji AM vibaya mno.
Buendia akachukuliwa na Villa, ikiwa ni response yao kwa kumuuza Jack city.
Juzi Buendia katolewa kwa mkopo ameshindwa kufikia matarajio. On the other hand Arsenal tumetoa kwa mkopo wafuatao
Marquinhos
Vieira
Tavares
Katika hawa ambaye naamini tunamhitaji ni Tavares
Kwa hatua hii imekaa vizuri, mambo ya kupangiwa kundi moja home and away ilikuwa siyo. Sasa unaona watu wanaumbuka huko play-offs.Hii eufa msimu huu hata sielewi ikoje ikoje, warudishe ile ile ama lah, watafute mfumo mwingine, waache huu.
City ana MadridKwa hatua hii imekaa vizuri, mambo ya kupangiwa kundi moja home and away ilikuwa siyo. Sasa unaona watu wanaumbuka huko play-offs.
Naona mmoja lazima aage.City ana Madrid
Ndo raha ya huu utaratibu mpya, wachujane hivyo hivyo.
Watu wa betting watafilisiwa
Mimi uwa simkubali. Chuma ni GyokeresWatkins haji
Utashangaa anakuja RashfordMimi uwa simkubali. Chuma ni Gyokeres
Utashangaa anakuja Rashford


Chid migoli atawasadia sana mtabeba mpaka Uefa msimu huu, ila mtaweza kumlipa £350,000 kwa wiki? Tafuta kazi ya kufanyaChid migoli atawasadia sana mtabeba mpaka Uefa msimu huu, ila mtaweza kumlipa £350m kwa wiki?
Kesho Mancity wapo hapo Emirates kuchukua points zao 3 kiulaini kabisa.