Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Daah hii gemu enzi hizo ni false hopers , dk ya 79 na 81 hope zikakataaa etoo na belleti kama sikumbuki vizuri
Huwezi kuiita arsenal ile kuwa false hopers.. Arsenal hii ilitisha, hii fainali Thierry Henry alituua alikosa goli nyingi, lakini ile kadi nyekundu ilitumaliza, huenda tungepata kombe usiku ule.
 
Jana nimecheki mpira, daha, chama linsikitisha, tunacheza kama vile timu ya shule ama academy yenye kocha mzuri, hatuna maturity kabisa, pale mbele ndio kabisaa.. Huyu arteta wakimchekea hatutaambulia kitu.

Kuna mali moja kai kapasiwa, ilikuwa aguse mpira tu uende goli kipa apambane na hali yake, akaopt kutuliza mpira na kufinya, kumbuka ye na kipa ilikuwa umbali kama wa mita 3 tu. 😂

Kwani yule Jonathan david wa lille si atakuwa free, bora yuoe kuliko kiazi kai
 
Kwa points tulizonazo tunajihakikishia kuwepo kwenye playoffs kwa 100% kwakua mtu wa 24 ana points 10 so hata akishinda sisi tukafungwa bado tunakua ndani ya 9 mpaka 24.

Ila ili tuwepo kwenye top 8 tunahitaji suluhu au ushindi mechi ya mwisho hii ni kwakua mtu wa 9 ana points 13 na akishinda anakua na 16. So tukisuluhu tutakua na 17 na tutakua ndani ya top 8.

Huku CL tumebebwa sana na defense line yetu kuliko attacking. Angalia tofauti ya magoli ya kufungwa na kufunga ya timu tatu za juu utanielewa.
 
Mishahara

Screenshot_2025-01-23-20-37-43-595_com.android.chrome-edit.jpg
Screenshot_2025-01-23-20-41-14-648_com.android.chrome-edit.jpg
Screenshot_2025-01-23-20-42-14-079_com.android.chrome-edit.jpg
 
Kuna article inasema nyumbu wana spending ya CL ila mapato yao hayaruhusu hata spending ya Europa

Screenshot_2025-01-23-21-07-09-935_com.android.chrome-edit.jpg
Screenshot_2025-01-23-21-04-56-944_com.android.chrome-edit.jpg
 
Ukiwa shabiki wa arsenal utafurahia goli la kwanza mechi ya juzi UEFA alilofunga Declan rice

Ila ukiwa mpenzi wa mpira utachukia namna striker KAI alivyohangaika kutoa pasi kwa mido RICE badala ya kufanya simple turning na kuscore.

Nimemfanyia critical analysis Kai harvets bila chuki Wala bias na kuhitimisha kwamba huyu ni squad player.

Kuna watu wataleta numbers na records za Kai na wataenda mbali zaidi watamlinganisha na other strikers in the elites Europe leagues ila wasisahau kitu kidogo tu.

How goals are scored,in what condition, pressure of the match in which goals are scored is what makes a difference between strikers
 
Back
Top Bottom