Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 37,920
- 75,775
Kwa points tulizonazo tunajihakikishia kuwepo kwenye playoffs kwa 100% kwakua mtu wa 24 ana points 10 so hata akishinda sisi tukafungwa bado tunakua ndani ya 9 mpaka 24.
Ila ili tuwepo kwenye top 8 tunahitaji suluhu au ushindi mechi ya mwisho hii ni kwakua mtu wa 9 ana points 13 na akishinda anakua na 16. So tukisuluhu tutakua na 17 na tutakua ndani ya top 8.
Huku CL tumebebwa sana na defense line yetu kuliko attacking. Angalia tofauti ya magoli ya kufungwa na kufunga ya timu tatu za juu utanielewa.
Ila ili tuwepo kwenye top 8 tunahitaji suluhu au ushindi mechi ya mwisho hii ni kwakua mtu wa 9 ana points 13 na akishinda anakua na 16. So tukisuluhu tutakua na 17 na tutakua ndani ya top 8.
Huku CL tumebebwa sana na defense line yetu kuliko attacking. Angalia tofauti ya magoli ya kufungwa na kufunga ya timu tatu za juu utanielewa.
Arsenal working on deal to sign Sverre Nypan from Rosenborg. No agreement or decision on 18yo midfielder’s future so situation open - but talks with #Rosenborg & player camp advancing as #AFC try to land Norway youth int’l. W/ @gunnerblog @TheAthleticFC