Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa points tulizonazo tunajihakikishia kuwepo kwenye playoffs kwa 100% kwakua mtu wa 24 ana points 10 so hata akishinda sisi tukafungwa bado tunakua ndani ya 9 mpaka 24.

Ila ili tuwepo kwenye top 8 tunahitaji suluhu au ushindi mechi ya mwisho hii ni kwakua mtu wa 9 ana points 13 na akishinda anakua na 16. So tukisuluhu tutakua na 17 na tutakua ndani ya top 8.

Huku CL tumebebwa sana na defense line yetu kuliko attacking. Angalia tofauti ya magoli ya kufungwa na kufunga ya timu tatu za juu utanielewa.
 
Mishahara

Screenshot_2025-01-23-20-37-43-595_com.android.chrome-edit.jpg
Screenshot_2025-01-23-20-41-14-648_com.android.chrome-edit.jpg
Screenshot_2025-01-23-20-42-14-079_com.android.chrome-edit.jpg
 
Kuna article inasema nyumbu wana spending ya CL ila mapato yao hayaruhusu hata spending ya Europa

Screenshot_2025-01-23-21-07-09-935_com.android.chrome-edit.jpg
Screenshot_2025-01-23-21-04-56-944_com.android.chrome-edit.jpg
 
Ukiwa shabiki wa arsenal utafurahia goli la kwanza mechi ya juzi UEFA alilofunga Declan rice

Ila ukiwa mpenzi wa mpira utachukia namna striker KAI alivyohangaika kutoa pasi kwa mido RICE badala ya kufanya simple turning na kuscore.

Nimemfanyia critical analysis Kai harvets bila chuki Wala bias na kuhitimisha kwamba huyu ni squad player.

Kuna watu wataleta numbers na records za Kai na wataenda mbali zaidi watamlinganisha na other strikers in the elites Europe leagues ila wasisahau kitu kidogo tu.

How goals are scored,in what condition, pressure of the match in which goals are scored is what makes a difference between strikers
 
Back
Top Bottom