Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie nao tafuteni mabeki wa kueleweka
20250120_080343.jpg
 
Hivi Arsenal huwa mnajichukulia kama timu kubwa au timu mashuhuri pale Uingereza?

Maana haijulikani mnachogembea ni kitu gani zaidi ya miaka 20 na zaidi!
 
Yaani kati ya watu wote tulioangalia mpira akiwemo arteta na benchi zima la ufundi la arsenal tumekubali kweli mpira uligusa mkono kabla haujabadilisha uelekeo, ila wewe peke yako umeona umegonga tumbo!

Hata hivyo mkono wa Havertz haukuwa kwenye natural position mkuu.
😀😀😀 nawaona kama nyie mliangalia vibaya au kwa kusudi la kuona mpira umegonga mkono wakati mimi mbona niliona haukugusa...😀😀
 
Arsenal imefungwa magoli 21.

Liverpool yenye mabeki wa kueleweka imefungwa magoli 20.

Akili mali
Na magoli yetu tuliyofungwa mengi ni yale ambayo yalikuwa rahisi zaidi kukoswa lakini somehow yakaingia. Huku kwenye ufungaji tuna chances nyingi zilizokuwa rahisi zaidi kufunga kuliko kukosa lakini somehow tukakosa.
 
Na magoli yetu mengi ni yale ambayo yalikuwa zaidi kukoswa lakini somehow yakaingia. Huku kwenye ufungaji tuna chances nyingi zilizokuwa rahisi zaidi kufunga kuliko kukosa lakini somehow tukakosa.
Chura anaandika utumbo daily
 
Mwanzo nilikua nahisi nimeielewa hii format ya UCL ila jana imeniacha tena njiapanda.

Mwanzo nilielewa timu kuanzia ya 9 mpaka 24 zitacheza playoffs ili ziingie raundi ya 16. Ambako huko itazikuta timu zilizoshika nafasi ya 1 mpaka ya 8 zinawasubiri.

Na nilifikiri tayari zishachujwa.
 
Mwanzo nilikua nahisi nimeielewa hii format ya UCL ila jana imeniacha tena njiapanda.

Mwanzo nilielewa timu kuanzia ya 9 mpaka 24 zitacheza playoffs ili ziingie raundi ya 16. Ambako huko itazikuta timu zilizoshika nafasi ya 1 mpaka ya 8 zinawasubiri.

Na nilifikiri tayari zishachujwa.

Nadhani ni hivyo. 1-8 wanakaa high table wakisubiri draw ya 9-24 wakutane watundikane na washindi waje watukute sisi 1-8 tupambane.
 
Mwanzo nilikua nahisi nimeielewa hii format ya UCL ila jana imeniacha tena njiapanda.

Mwanzo nilielewa timu kuanzia ya 9 mpaka 24 zitacheza playoffs ili ziingie raundi ya 16. Ambako huko itazikuta timu zilizoshika nafasi ya 1 mpaka ya 8 zinawasubiri.

Na nilifikiri tayari zishachujwa.
Ni hivyo uko sahihi, lakini mpaka michezo yote iishe ndo watakuwa wamejichuja.
 
Ni hivyo uko sahihi, lakini mpaka michezo yote iishe ndo watakuwa wamejichuja.
Nadhani ni hivyo. 1-8 wanakaa high table wakisubiri draw ya 9-24 wakutane watundikane na washindi waje watukute sisi 1-8 tupambane.

Nimeelewa zaidi.

Baada ya kila timu kucheza michezo nane ndiyo inakua ishaamuliwa nani atakaa wapi
 
Back
Top Bottom