Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ukiwa shabiki wa arsenal utafurahia goli la kwanza mechi ya juzi UEFA alilofunga Declan rice

Ila ukiwa mpenzi wa mpira utachukia namna striker KAI alivyohangaika kutoa pasi kwa mido RICE badala ya kufanya simple turning na kuscore.

Nimemfanyia critical analysis Kai harvets bila chuki Wala bias na kuhitimisha kwamba huyu ni squad player.

Kuna watu wataleta numbers na records za Kai na wataenda mbali zaidi watamlinganisha na other strikers in the elites Europe leagues ila wasisahau kitu kidogo tu.

How goals are scored,in what condition, pressure of the match in which goals are scored is what makes a difference between strikers
Kitakwimu ukimuangalia Kai utasema kwamba jamaa mbona yuko sawa. Why? Coz kwa sasa Arsenal inasemekana inamtaka Cunha, but namba zao hazipishani sana kwenye assists na magoli.

Hii debate niliikuta Reddit. Mmoja akaargue kwa namba ya Cunha, jinsi Wolves wameanza msimu na waliomzunguka kumtengenezea nafasi ni sawa na waliomzunguka Kai?

So in all honesty, Kai hatoi msaada ambao unatarajia ST akupe na ukubwa wa mshahara wake.
 
Arsenal sas hivi kuiangalia hadi inachosha.

Wolves wako very open, with a lot of mistakes but still tunashindwa kufunga.
 
RED CAAAAARD

Pambaf zenu. Na leo mnakalia mti tena.
 
Nafikiri hii red imekuja kutokana na DOGSO lakini sioni ni kivipi ile inatakiwa iwe red card kwakua kwa distance ya Wolves hadi golini kwa Arsenal ni vipi inaweza kujihakikishia lile litakua goli?

Mchezaji mmoja akikosekana kwa Arsenal inakua msiba kwakua tunacheza kwa pattern, hata mchezaji wetu mwenye speed akipata mpira anasubiri wenzake waje wakamilishe pattern.

Ndiyo maana unashangaa hadi tunaenda mbele tunakuta wapinzani wameshajipanga. So akimiss mmoja tatizo linaongezeka.
 
Back
Top Bottom