HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
tunatakiwa kujifunza kutumia nafasi za kufunga magoli ili mambo kama haya yakitokea, tuwe na chakulinda.Hii game imeshakua ngumu
tunatakiwa kujifunza kutumia nafasi za kufunga magoli ili mambo kama haya yakitokea, tuwe na chakulinda.Hii game imeshakua ngumu
😀 😀 😀 hapana bwana. Hata yule aliyepigwa enzi zile haikuwa kwa sababu ya kujifunga bali kwa sababu ya madawa ya kulevya.Colombia vichezaji vijinga kama hiki, vinapigwa risasi
Nilihisi hivyo pianilishindwa kushangilia nikisubiri waseme Havertz amegusa ule mpira na alikuwa offside
We jamaa wewe!RED CAAAAARD
Pambaf zenu. Na leo mnakalia mti tena.
tulivyo na bahati mbaya hata nisingeshangaaNilihisi hivyo pia