Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wazee wa Netflix naona mmemsusia liverpool ubingwa

Wazee wa next season

In Arteta we trust, mitano tena

Ninachowambia Ruben Amorin atakuja beba EPL kabla ya Arteta, tunzeni hii comment
 
Guys embu kuweni serious.

Unataka ubingwa unaenda kusajili sterling?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Waswahili watasema tuna mikosi.
Yaani VAR wameangalia ule mpira umemgonga Havertz tumboni na wakasema handball kweli? Mimi naendelea kusema ukweli ninaohisi kuwa officials wako dhidi yetu kuliko wengine.
Mjinga wewe, ngoja nikuwekee clip hapa uone mkono ulivyozuia mpira. Ushabiki usikutoe fahamu.... pambaf sana.
 
Ni kweli hata mimi nilikua sehemu nimepoa nakula popcorn sina wasi. Siku hizi naona sina presha kama zamani kwa sababu si expect much from this team.

Huu mwaka umeisha. Mwakani bila sajili za kueleweka tunarudi pale pale.
"Huu mwaka umeisha. Mwakani bila sajili za kueleweka tunarudi pale pale."

HII NDIO MAANA HALISI YA "ALWAYS NEXT SEASON" aka NETFLIX.
 
Havertz bahati aliyonayo ni kuzaliwa ulaya tu lakini kiuwezo ni very mediocre.. Ni vile hivi vigoli vyake vya bahati kuna watu vinawaongopea wakiamini ana kitu lakini hakuna lolote mule.. Kwa timu yoyote inayotambua ugumu wa EPL mchezaji kana Havertz sio sehemu yake sahihi. Ni viburi tu vya makocha wa Kihispania kusimamia wanachoamini lakini kwa hili la Havertz tunaongopeana tu..
Timu nzima maumbwa tu hayo.
 
Ni maajabu haya, Raheem ni miaka mingi imepita toka aondoke liver nashangaa leo kumkuta arsenal nilitegemea awe IPSWICH huko na sio timu kubwa kama arsenal
Mimi nilijua kuwa alishastaafu mpira zamani sana. Yani asenyeto ni timu la kutupiwa takataka zilizoshindikana kwenye team nyingine kama hao kina Odegaard, Jesus, Havertz, Sterling, Timber n.k
 
Hili goli ambalo mpira uliufuata mkono wa Kai haina hata haja ya kusumbuana. Mechi imeshaisha hata kama ikaonekana ni kweli zaidi ya kugewa barua ya kuombwa msamaha hakuna jipya.

Kilichotokea kimeendeleza ambacho tunakiona mara nyingi. Weka Partey RB observe unavyoshindwa kusecure points 3. Kipindi fulani hivi wakati liva ipo on fire inamiliki mpira mpaka 80% nikawa nasema kwamba tunateseka dhidi ya liva kwakua Arteta ana tabia kama ya Wenger.

Ilikua haijalishi anakutana na mpinzani gani Wenger alikua anataka acheze sexy football huku anascore. Arteta aliwahi kufanya defense iliyowahi semwa haifundishiki kua ya pili kutoruhusu magoli mengi. He did it with back 3.

Kama hatuna RB na inatusumbua hiyo ishu kwanini isichezwe back 3. Nimeona anasema kikosi ni kidogo na wanacheza kila baada ya siku 2. Ok sawa, nani ambaye hachezi kila baada ya siku 2?.

Ratiba hua inatoka ya mwaka mzima. Hakujua hili swala?
 
Taito Kunitenda mechi nane zilizopita ameshinda 4 na amedraw 4.
Fixtures ya hizi mechi 6 zinazofata Arsenyo anaenda kuchomoka kwenye top 4.
1737276807646.jpg
 
Ina maana ukuona mkono ulivyobadili uelekeo wa ule mpira au ubishi tu?
Naelewa kwa nini kila mtu anasema hivyo kwa sababu inaonekana kama ni hivyo ila ukweli ni ilikuwa tumbo. Hata ile replay ya mwisho waliyorudia ilionyesha kuwa siyo handball na commentator akasema hivyo. Ila tayari VAR walikuwa wameshakataa goli. Mimi niliona siyo handball tangu mwanzo kabisa. Ila ndiyo hivyo imeshatokea.
 
Aisee makocha wa Kihispania wana viburi sana.. Thomas Partey kama right back na kila siku inatugharinu sana, ukiacha hilo lakini pia ukiangalia hizi sajili za reject wa Chelsea ambazo tangia mwanzo ziliwashangaza pundits wengi walioamini Arsenal sio sehemu tena ya takataka unakuja kuona uondokaji wa Edu Gaspar Arsenal hakukuwa kwa kawaida kama tunavyoaminishwa. Kuna kitu hakipo sawa naamini Edu alikuwa hakubaliani navyo
 
Back
Top Bottom