Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,219
- 4,085
Lazima tumalize top 4..kila match naona Arsenal inazidi kuimarikakaka mark my words!.. gooners we belong on top 4 .. tukiteleza top 5 ...
Lazima tumalize top 4..kila match naona Arsenal inazidi kuimarikakaka mark my words!.. gooners we belong on top 4 .. tukiteleza top 5 ...
Keep It Rolling Gunners.. Who is next? Stoke mmeumia
Pole sana jirani.....Naona jahazi linazidi kuzama......Mshalambwa kimoko na Bosingwa na Drgoba wamelamba mwekundu.....Kuna kipindi marefa huwa wanaumiza sana aisee.....Penati na red card mbili inakuwa ni kuumizana jamani....you need a "van persie effect" to win the game!
Jirani taratibu........k... mamake refa!!
Hongera sana mkuu...Jamani hii sherehe ya leo hata cjui nishangilieje! OF ALL THE GOALS, SITA?
Lazima tumalize top 4..kila match naona Arsenal inazidi kuimarika
Adui mwombee njaa,cha ajabu ni pale Van Persie atakaposaini long term na Arsenal,na hili naliandika na litatokea.Kwa ushauri wangu ni kuwa tusikimbiane hapo J'mosi mchana.Van Persie amekamilika toka feeder club fat arse anal aende zake man citeh Jan!
Mbona tulikuwa 17 then 11 na sasa No 7, tunakuja where we belong.tupo no 7 sasa toka 11 kweli mungu ni mwema