BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Nimelikosa hili pilau la nguvu leo hahahahah lol! Ilibidi nitoke wakati wa HT huku nikujua kwamba kama kawaida yetu leo ni tundu tu toka kwa wagonjwa wa Malaria 🙂🙂 lakini kutokuwepo kwa Drogba (muuaji wa Arsenal) baada ya kupigwa red card last week kulinipa matumaini kwamba labda tungeweza kutoa sare. Nilipotoka wakati wa HT tulikuwa nyuma 1-2 narudi naingia BBC kuangalia matokeo siamini macho yangu, maana kuwachapa wagonjwa wa malaria nyumbani kwao 5-3 si kazi ndogo 🙂🙂...Hongera sana kwa ushindi huu lakini kazi iliyobaki bado ni kubwa sana.