Arteta uwezo wake umeishia hapo, hamtaki kukubali,,, klopp alikuwa muwazi akasema "I'm running out of energy "Tukifanya hesabu uchwara:
Ten Hag per season:
546/2 = 273
Arteta per season:
700/5 = 140
na tukisema tuforce iwe misimu 6...
700/6 = 116
Itaonekana kama Ten Hag per season > 2(Arteta per season).
Lazima tapeli hapo aonekane wazi wazi kabisa.
Mimi ni arsenal, ila kwa hili nakataa Kumbuka ume tuandalia ubingwa kila msimu
View attachment 3196273





jamaa katelekeza kabisa jukwaa, nakumbuka alimuahidi mtoto wake msimu uliopita kuwa arsenal akibeba ubingwa sijui atamnunulia nini.hahaha, eti mchambuzi nguli.jamaa katelekeza kabisa jukwaa, nakumbuka alimuahidi mtoto wake msimu uliopita kuwa arsenal akibeba ubingwa sijui atamnunulia nini.
Yan anamchosha dogo kwa ahadi hewa wakati anajua kwenye moyo wake arsenal hata iwe nini hawezi chukua epl.
Liverpool kwenye uwanja wao wa Anfield anaweza kumpiga Spurs zaidi ya goli 3 akasonga mbele, je nyinyi Arsenyau mnauwezo wa kuwapiga Magpies goli 3-0 pale St. James' Park?Naona washkaji wa kuku wamepunguza kuingia humu baada ya jana
Hivi vitu vinachekesha sana
Kwanini isiwezekane?Liverpool kwenye uwanja wao wa Anfield anaweza kumpiga Spurs zaidi ya goli 3 akasonga mbele, je nyinyi Arsenyau mnauwezo wa kuwapiga Magpies goli 3-0 pale St. James' Park?
Mimi ni arsenal, ila kwa hili nakataa Kumbuka ume tuandalia ubingwa kila msimu
View attachment 3196273

