Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna viazi humu wanafikiri Arsenal haifungiki, wakati kocha uwezo mdogo. ikifungwa lawama zitapelekwa kwa refa au visingizio majeruhi y wachezaji. Haya mmefungwa tena kisingizio ni nini?
 
View attachment 3195462
Tukumbushane tu msimu wa 6 huu miaka 5 without trophy ….. Trust phase and process
Daah. Kwa hiyo hujuma wametuletea mpaka kwenye mipira sasa. Kweli FA hawana hamu na sisi kabisa.

Sasa hizo rounds za awali ambazo tulikuwa tukitembeza vichapo mpaka kufikia hapa tulikuwa tunatumia mipira ya premier league?
 
Mpira ukipigwa unapaa tofauti na mpira wa Premier League.
Hee!! kumbe walitumia mpira wa kufuma??
images.jpg
 
Piga kabisa hizi mburukenge,,,, mpaka akili ziwakae sawa ,,,, mkata viuno rice hakuwepo uwanjani ? Ni lini tuanze kuijadili form yake this season,,,,, msimu huu jamaa ni wa kawaida sana , msimu jana ndo alikuwa moto ! Hivi impact ya merino iko wapi ? Yule dogo(skelly) LB anamuweka zinny nje imekuwaje ? Si mlikuwa mnamsifia sijui inverted mid?







Wachezaji wa maana hapo arsenal ni Raya,saliba gabi CB, saka ,,, the rest ni ushuzi
 
Daah. Kwa hiyo hujuma wametuletea mpaka kwenye mipira sasa. Kweli FA hawana hamu na sisi kabisa.

Sasa hizo rounds za awali ambazo tukekuwa tukitembeza vichapo mpaka kufikia hapa tulikuwa tunatumia mipira ya premier league?
Kuna uongo mwingine (wa Mikel) hata wewe unayesema unajiona mjinga.
 
Back
Top Bottom