Dropped 4 points kwa Brighton.
Ukifanya kazi inayohitaji results hua tunajiuliza "When all else failed what was I doing?" Sawa game ya kwanza tulipata red and then what did we do?
Game ya pili sawa penati inaonekana ina upendeleo timu yetu ilifanya nini? Chances haziwi created na watu hawaendi mbele hilo ni kosa la refa?
Ukifanya kazi inayohitaji results hua tunajiuliza "When all else failed what was I doing?" Sawa game ya kwanza tulipata red and then what did we do?
Game ya pili sawa penati inaonekana ina upendeleo timu yetu ilifanya nini? Chances haziwi created na watu hawaendi mbele hilo ni kosa la refa?