Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nwaneri anaumwa.

Baada ya game na Newcastle tuna game na nyumbu kwenye FA. Kuna page imetabiri kikosi cha kesho kinaweza kua hivi View attachment 3194305

Ingawa naona ni ngumu kiasi. Why?

Baada ya game ya kesho tarehe 12 tuna game na nyumbu kwenye FA. Kisha baada ya tarehe 12 unarudi mchaka mchaka wa kila baada ya siku 2 mechi.

Nahisi Arteta anaweza risk starters game ya kesho zaidi kuliko ya nyumbu labda waingie dakika za lala salama, ukizingatia sisi tupo CL na ligi wakati tunaokutana nao hawana cha kupoteza siyo kwenye ligi wala nje ya hapo so wao watakua full mkoko kutuzidi.
Changes ndogo sana

Newcastle atakufa tu, hakuna namna
 
Kuna mtandao nipo kuna hoja wameianzisha ambayo inaonyesha kwa msimu wa 23/24 katika games 20 tulikua na points 40 sawasawa na kipindi hichi.

Isipokua kwa msimu wa 23/24 tulikua nafasi ya 4 na msimu huu kwa points zile zile tupo nafasi ya 2. Wanasema inawezekana fans tunaoverreact ila kila kitu kipo under control.
View attachment 3194022
Kumbuka tulikosa ubingwa pia. Hivyo tunahitaji namba zinazoonesha kuna kuimarika zaidi.
 
Pasi aliyopiga Trossard kumpa Martinelli ni bonge la pasi.

Lile pasi huwezi lielewa kama hujawahi kucheza FIFA
 
Kila siku nawaambia, ni yuleyule Isak. Dogo anatunyanyasa kila siku.

Yote haya kayataka Martinelli, tungeongoza hii pressure ingepungua.
Martinelli mbona ali-shoot poa, kupiga besela huwez kumlaumu mchezaji
Au amezingua sehemu nyingine Mimi sijaona
 
Martinelli mbona ali-shoot poa, kupiga besela huwez kumlaumu mchezaji
Au amezingua sehemu nyingine Mimi sijaona
Of course Martinelli binafsi sijashangazwa sana na kukosa vile.. Labda kwa watu ambao hawajamtizama hivi karibuni 1vs1 na kipa. Sikuwa na mategemeo makubwa sana hata aliyotengeneza gap na mtu wa mwisho kwa mkimbio wake. Kupishanisha vizuri mpira na goalkeeper ni tatizo chronic sana kwake kwasasa.. Wala sio wa kutetea
 
Dakika za mwanzo za kipindi cha pili Newcastle watatafuta goli la pili kwa udi na uvumba, wakifanikiwa tu kupata goli la pili wanapaki basi na game ndio inakua imeisha.
Itakua poa sana Arsenyau akifungasha virago halafu mechi inayofata ya FA utd tukifanikiwa kuwaondoa kwenye mashindano matusi yatakua mengi sana humu
 
Back
Top Bottom