Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Of course Martinelli binafsi sijashangazwa sana na kukosa vile.. Labda kwa watu ambao hawajamtizama hivi karibuni 1vs1 na kipa. Sikuwa na mategemeo makubwa sana hata aliyotengeneza gap na mtu wa mwisho kwa mkimbio wake. Kupishanisha vizuri mpira na goalkeeper ni tatizo chronic sana kwake kwasasa.. Wala sio wa kutetea
Kuna kamstari kembamba sana kanakomtenganisha huyo Matembele wenu na Antony Masebene, ni vile tu mashabiki wa Arsenyo hua wanapenda sana kuwapamba wachezaji wao.
 
Dakika za mwanzo za kipindi cha pili Newcastle watatafuta goli la pili kwa udi na uvumba, wakifanikiwa tu kupata goli la pili wanapaki basi na game ndio inakua imeisha.
Itakua poa sana Arsenyau leo akifungasha virago halafu mechi inayofata ya FA utd tukifanikiwa kuwaondoa kwenye mashindano matusi yatakua mengi sana humu
Kuna marudiano
 
Back
Top Bottom