IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,805
- 7,258
Kazeni basi mi nawataka nyie fainali
Martineli ndio matembele? 😂😂😂😂😂😂Kuna kamstari kembamba sana kanakomtenganisha huyo Matembele wenu na Antony Masebene, ni vile tu mashabiki wa Arsenyo hua wanapenda sana kuwapamba wachezaji wao.
Amachanganyikiwa kuna goal 4 hapa nazionaKocha kamuingiza Jorginho 🤔
😁 sio mbal n trh 12Bado kidogo, tutaanza kuhoji uwezo wa kocha
Ushindwe kumfunga Newcastle nyumbani kwenu utegemee utamfunga kwake?Kuna marudiano