Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Of course Martinelli binafsi sijashangazwa sana na kukosa vile.. Labda kwa watu ambao hawajamtizama hivi karibuni 1vs1 na kipa. Sikuwa na mategemeo makubwa sana hata aliyotengeneza gap na mtu wa mwisho kwa mkimbio wake. Kupishanisha vizuri mpira na goalkeeper ni tatizo chronic sana kwake kwasasa.. Wala sio wa kutetea


Kuna kamstari kembamba sana kanakomtenganisha huyo Matembele wenu na Antony Masebene, ni vile tu mashabiki wa Arsenyo hua wanapenda sana kuwapamba wachezaji wao.