HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Tierney anaweza kuhitaji muda kufikia form yake. Pia nina wasiwasi Arsenal style inaweza kuwa imempa mkono Tierney, apendaye kubomb forward na kucross. Kama Trossard hataingia ndani na kumwachia Tierney a- overlap, Tierney anapunguza nguvu kwenye attack. Pia Tierney atakuwa anamhitaji zaidi Havertz kuliko Jesus ili afaidi crosses zake.Kwangu ni ngumu nimuamini Lewis halafu nione Tierney hawezi
Ila zote hizo ni theories. Anaweza kuingia Tierney na akakiwasha balaa.


