Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu kocha wa Westham asipofukuzwa kesho basi ushirikina upo hadi Ulaya

Same mistakes
Mimi niliamini uchawi upo hadi Ulaya baada ya Tetea kuongoza ligi msimu mzima halafu akashindwa kubeba kombe, badala ya kumtimua na kutafuta kocha wa kueleweka wakaanza kuaminishana ujinga eti Trust the process, msimu wa 6 huu tunaenda wa 7 ngonjera ni hizohizo.
 
Nielewe Mkorea.

Liverpool ana game na Everton iliahirishwa. Wana mchezo mkononi sisi match 19 tunaikamilisha J5 against Brentford.

So mara zote liva atakua game moja nyuma mpaka acheze na Everton
I got u,
 
Yaani mkorea nilikua naamini Masingeli kulikimbia hili jukwaa huenda kidogo akili zako zitaanza kurudi na kuachana na false hope za kijinga, kumbe Masingeli alitia kufuli halafu akaondoka na funguo zake.
Kwa Arsenyo hii ninayoijua mimi mpaka kufikia hio February 20 Liverpool atakua amewapiga gape la zaidi ya points 20.
Mancity mwenyewe nina uhakika atarecover na kumaliza ligi juu yenu kwa points kadhaa.
Kuna uwezekano mkubwa sana msimu huu Arsenyo kumaliza ligi nje ya top4.
Fixture ya january tu mnaenda kudondosha zaidi ya points 10.View attachment 3188346
Hiyo fixture naenda kupiga wote hao, na ninaemuombea azidi kupoteana ni huyo huyo city

Liverpool tutajua tunaenda kumdakia wapi. Hizi ni game ambazo liverpool ataacha points zaidi ya 10
Arsenal
City
Nyumbu
Chelsea
Spurs
Everton
Villa

Ukija upande wa arsenal, hizo timu nilizoziandika hapo juu, tunaenda kuchukua points 15+
 
Kati ya Liverpool na city, kiukweli tuombee city azidi kupoteana. Liverpool tutajua wapi kwa kumdaka
By February 20 hivi Liverpool atatupisha pale juu

At that time saka atakua amerudi so tusiwe na majerui ya key players tu

Hiyo fixture naenda kupiga wote hao, na ninaemuombea azidi kupoteana ni huyo huyo city

Liverpool tutajua tunaenda kumdakia wapi. Hizi ni game ambazo liverpool ataacha points zaidi ya 10
Arsenal
City
Nyumbu
Chelsea
Spurs
Everton
Villa

Ukija upande wa arsenal, hizo timu nilizoziandika hapo juu, tunaenda kuchukua points 15+

Kweli Bangi ni mbaya
 
Hiyo fixture naenda kupiga wote hao, na ninaemuombea azidi kupoteana ni huyo huyo city

Liverpool tutajua tunaenda kumdakia wapi. Hizi ni game ambazo liverpool ataacha points zaidi ya 10
Arsenal
City
Nyumbu
Chelsea
Spurs
Everton
Villa

Ukija upande wa arsenal, hizo timu nilizoziandika hapo juu, tunaenda kuchukua points 15+
Endelea kujilisha upepo peke yako, ila kwa upande wetu Man Utd futa kabisa hizo false hope zako kua tutamfunga Liverpool.
Mimi napenda kuwahakikishia ndugu zangu wa Liverpool kua points zao 3 dhidi yetu ziko palepale wala wasiwe na hofu yoyote, na kikubwa zaidi hiyo jumapili ijayo tutafanya kila lililo ndani ya uwezo wetu Liverpool wapate magoli mengi ili kuwe na gape kubwa la GD kati yao na nyinyi.
 
Hapo ndio huwa nashindwa kujua Castr na mwenzake mkorea wanatumia hesabu gani ya kujipa ubingwa dhidi ya liverpool hii inayoshinda kwa madaha kabisa! Yaani mmeshindwa kutunza uongozi wa point 8 ndani ya mechi 8 leo mje mpindue tofauti ya point 12 dhidi ya timu ambayo inashinda kwa swaga kabisa!

Uzuri nafasi ya 14 na ya 3 wote hatutapata kombe lolote msimu huu.
 
Hapo ndio huwa nashindwa kujua Castr na mwenzake mkorea wanatumia hesabu gani ya kujipa ubingwa dhidi ya liverpool hii inayoshinda kwa madaha kabisa! Yaani mmeshindwa kutunza uongozi wa point 8 ndani ya mechi 8 leo mje mpindue tofauti ya point 12 dhidi ya timu ambayo inashinda kwa swaga kabisa!

Uzuri nafasi ya 14 na ya 3 wote hatutapata kombe lolote msimu huu.
Umeona wapi nimesema tunachukua ubingwa 🙄
 
Hapo ndio huwa nashindwa kujua Castr na mwenzake mkorea wanatumia hesabu gani ya kujipa ubingwa dhidi ya liverpool hii inayoshinda kwa madaha kabisa! Yaani mmeshindwa kutunza uongozi wa point 8 ndani ya mechi 8 leo mje mpindue tofauti ya point 12 dhidi ya timu ambayo inashinda kwa swaga kabisa!

Uzuri nafasi ya 14 na ya 3 wote hatutapata kombe lolote msimu huu.
70% arsenal anachukua ubingwa

Liverpool ni 50/50 kuchukua ubingwa

City bado hasomeki

Misimu kadhaa nyuma tulikua tunapoteza momentum mwishoni mwa ligi, msimu huu ngoma inaenda kuwa tofauti. Mark my words
 
Wolves bado anatembelea patch ya new manager bounce na inamlipa.

Kesho nyumbu wana kazi na Newcastle. Kwa pace ya forwards za Newcastle Nyumbu wakiweka back 3 wanaliwa kichwa. I also believe Newcastle atatamani huu ushindi ili uboost confidence against next opponent
Sasa kama vitu vyepesi kama formation mimi mkazi wa Gidamba naweza kuviona ila kocha hawezi ya nini kushabikia hizi timu zinazotia huruma?
 
70% arsenal anachukua ubingwa

Liverpool ni 50/50 kuchukua ubingwa

City bado hasomeki

Misimu kadhaa nyuma tulikua tunapoteza momentum mwishoni mwa ligi, msimu huu ngoma inaenda kuwa tofauti. Mark my words
Wewe mkorea unanikumbusha ya hamis77 misimu miwili iliyopita.
Ndio kwanza tuko katikati ya msimu wewe unadhani mnakaribia mwisho wa msimu!

Kwangu mimi arsenal ya misimu miwili nyuma ilikuwa inashawishi zaidi kuondoka na kitu kuliko hii ya msimu huu.
 
Wewe mkorea unanikumbusha ya hamis77 misimu miwili iliyopita.
Ndio kwanza tuko katikati ya msimu wewe unadhani mnakaribia mwisho wa msimu!

Kwangu mimi arsenal ya misimu miwili nyuma ilikuwa inashawishi zaidi kuondoka na kitu kuliko hii ya msimu huu.
Wewe mkorea unanikumbusha ya hamis77 misimu miwili iliyopita.
Ndio kwanza tuko katikati ya msimu wewe unadhani mnakaribia mwisho wa msimu!

Kwangu mimi arsenal ya misimu miwili nyuma ilikuwa inashawishi zaidi kuondoka na kitu kuliko hii ya msimu huu.
Ya msimu huu ina kitu, hatutoki kapa, ya misimu iliyopita Arteta alikuwa anajifanya anadharau makombe naona saizi kila eneo anaweka mkazo, japo kuna kuteleza lakini kwa muono wangu hatutoki kapa hata kama sio ligi
 
Back
Top Bottom