Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

This is a worrying display for a team that aims at securing victory right, left and centre. I believe our season will be defined with how we walk into the January market.

Miscommunication was there, hesitations, terrible decision making in front of a goal, unnecessary sideways passes you name it.

Tulidominate mchezo kwa 80% na kuna moves mbili kipindi cha kwanza kwa timu complete inakua ni angalau kumtest kipa but a move died kwa kutaka watu wajae kwenye boksi zianze passes.
 
Unatumia pesa nyingi kwaajili ya LB mpaka unanunua wanaumia in a week kumbe LB wenu yupo academy.

Huyu Myles ni mzuri kushambulia, ana energy, physically yuko vizuri kulinganisha na umri ila ana utoto bado. Kwanini unamuamini Myles akulindie mashambulizi ila kumuamini Nwaneri akuanzishie mashambulizi ni ngumu.
 
Unatumia pesa nyingi kwaajili ya LB mpaka unanunua wanaumia in a week kumbe LB wenu yupo academy.

Huyu Myles ni mzuri kushambulia, ana energy, physically yuko vizuri kulinganisha na umri ila ana utoto bado. Kama unamuamini Myles akulindie mashambulizi ila kumuamini Nwaneri akuanzishie mashambulizi ni ngumu.
Sasa huyo Nwaneri ndo hatari basi kama hujajua. Save this comment.
 
Liverpool wakaamua kuiga set up ya kona kutoka Arsenal.

Screenshot_2024-12-29-10-38-30-187_com.reddit.frontpage-edit.jpg
 
Back
Top Bottom