hawana majeruhi?
Jota amekaa nje toka wa 9,
Alison kakaa nje miez 2+,
Ibou bado yuko nje,
Jones alikua nje,
Eliot ametoka majeruhi,
Robo kuna muda alikua majeruhi,
give credit where its due, liver wana timu imara sana kwa sasa, na kocha wao mpya amebadili vitu vichache sana kiasi kwamba wachezaji wame-copy haraka!
unamuona Amorin? amekuja majuzi tu na anataka timu icheze anavotaka yeye matokeo yake anakula vipigo daily, wakati Slot licha ya kukaa preseason na wachezaji hajabadili mfumo mzima uliokuwepo, hii ndio tofauti ya kocha mzuri na kocha wa kawaida!
liver kocha wao anacheza kulingana na strength za wachezaji wake, na kama umewahi kuangalia game hata 2 za fayenoord utagundua hii style wanayocheza liver sio ile style yake hasa aliyoitumia uholanzi