Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu liva haaminiki
Ni m
Ni suala la muda!
kocha mpya bado wapinzani hawajamsoma tactics zake.
Next round watakuwa na wakati mgumu.
Binafsi naamini liver ya klop ilikuwa inatisha kuliko hii ya kipara pesa.
 
Ni m
Ni suala la muda!
kocha mpya bado wapinzani hawajamsoma tactics zake.
Next round watakuwa na wakati mgumu.
Binafsi naamini liver ya klop ilikuwa inatisha kuliko hii ya kipara pesa.
They are very electric and focused huku hawana majeruhi. Ni mapema kuwaona hawastahili kuwepo walipo.

Ruben ni kocha mpya ila anagalagazwa hapa mwanzo tu
 
Ipswich kesho tunawakaribisha Emirates.

Tuna injury mpya ya Saka na Sterling. Za zamani ni zilezile na prediction ni Jesus kucheza namba ya Saka.

But, mtu aliyekupa magoli 5 kwenye mechi mbili nahisi ni mbaya kumpanga sehemu itakayomnyima kuendelea kushine.

Namba ya Saka akae Odegaard. Mid ishikiliwe na Partey, Rice na Nwaneri. Nwaneri aachwe azurure afanye anachofanya Odegaard. Partey na Rice wasijisahau kuacha mid wazi.

Kesho biashara ifanywe mapema. This is our chance to show we belong in the convo regarding the title
 
Ni m
Ni suala la muda!
kocha mpya bado wapinzani hawajamsoma tactics zake.
Next round watakuwa na wakati mgumu.
Binafsi naamini liver ya klop ilikuwa inatisha kuliko hii ya kipara pesa.
Eti,Bingwa asipokuwa Man city basi atakuwa Arsenal,Kirahisi rahisi tu, Mlikuwa mnaaminishana Upumbavu.
 
They are very electric and focused huku hawana majeruhi. Ni mapema kuwaona hawastahili kuwepo walipo.

Ruben ni kocha mpya ila anagalagazwa hapa mwanzo tu
hawana majeruhi?
Jota amekaa nje toka wa 9,
Alison kakaa nje miez 2+,
Ibou bado yuko nje,
Jones alikua nje,
Eliot ametoka majeruhi,
Robo kuna muda alikua majeruhi,

give credit where its due, liver wana timu imara sana kwa sasa, na kocha wao mpya amebadili vitu vichache sana kiasi kwamba wachezaji wame-copy haraka!

unamuona Amorin? amekuja majuzi tu na anataka timu icheze anavotaka yeye matokeo yake anakula vipigo daily, wakati Slot licha ya kukaa preseason na wachezaji hajabadili mfumo mzima uliokuwepo, hii ndio tofauti ya kocha mzuri na kocha wa kawaida!

liver kocha wao anacheza kulingana na strength za wachezaji wake, na kama umewahi kuangalia game hata 2 za fayenoord utagundua hii style wanayocheza liver sio ile style yake hasa aliyoitumia uholanzi
 
Nadhani kumkosa Saka ni Big blow ila itatupa nafasi ya kumpa nafasi player mwingine kwenye nafasi ile. Hivi karibuni Martinelli wing ya kushoto amekua akizunguka tu, leo nadhani atakaa kulia. Jesus atabaki position yake.
Trossard anaweza cheza kushoto.
 
hawana majeruhi?
Jota amekaa nje toka wa 9,
Alison kakaa nje miez 2+,
Ibou bado yuko nje,
Jones alikua nje,
Eliot ametoka majeruhi,
Robo kuna muda alikua majeruhi,

give credit where its due, liver wana timu imara sana kwa sasa, na kocha wao mpya amebadili vitu vichache sana kiasi kwamba wachezaji wame-copy haraka!

unamuona Amorin? amekuja majuzi tu na anataka timu icheze anavotaka yeye matokeo yake anakula vipigo daily, wakati Slot licha ya kukaa preseason na wachezaji hajabadili mfumo mzima uliokuwepo, hii ndio tofauti ya kocha mzuri na kocha wa kawaida!

liver kocha wao anacheza kulingana na strength za wachezaji wake, na kama umewahi kuangalia game hata 2 za fayenoord utagundua hii style wanayocheza liver sio ile style yake hasa aliyoitumia uholanzi
We jamaa sasa unataka ubishi. Kwani nimesema timu au kocha ni mbovu?

Unajisikiaje kuandika kitu kirefu ambacho ndicho mtu amekubali?
 
Kama mnaona mna timu bora kuliko LIVERPOOL FC ni rahisi tu Msihangaike sana fanyeni mnavyojua mtutoe pale juu ya msimamo, Kama hamuwezi SHUT UP.
mnashushwa tu hapo kwani gape ni point ngapi?
 
Back
Top Bottom