Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nakumbuka mlidanganya saka mgonjwa na atakosa Game yetu ya liverpool ila siku ya Game akaanza.

Leo naona kaumia ya kiukweli ukweli. Namtakia matibabu mema apone haraka.
Raheem Sterling baada ya kusikia Saka kaumia akaenda kuangalia fixtures za january, alichokutana nacho kaamua kuutangazia umma kua na yeye kaumia atapona katikati ya january.
1734963902741.jpg
1734964225432.jpg
1734963939144.jpg
 
Hii taarifa ya SAKA kama ni kweli, Nawapa pole sana kwa sababu Arsenal ni timu ya mchezaji mmoja tu SAKA.
 
Everton kafungwa na nyumbu formation ikiwa 4 2 3 1.

Akamfunga Wolves kwa 5 4 1

Akapata suluhu kwa Arsenal kwa kutumia 4 4 1 1

Guess dhidi ya Kenge kachagua formation gani? 🤣🤣🤣

4 2 3 1
Unauhakika against chelsea alitumia formation hiyo? Acha kuchangamsha genge.
 
"Timu gani inategemea kona?"

Saka kaumia
"Timu gani inamtegemea Saka?"

Odegaard kaumia
"Timu gani inamtegemea Odegaard?"

Saliba kaumia
"Timu gani inamtegemea Saliba?"

Hii timu haidai wala haidaiwi na mtu. Kwa level ya local competition haina cha kuprove, watabweka bweka na kujichekesha ila katika hao wengine washasahau kushinda kukoje, wengine nafasi walizopo ni mafanikio makubwa hawakuwaza wakati msimu unaanza.

Wanaingia tu threads za wanaume wanakosa cha kuandika wakimaliza wanaondoka
 
Arteta anasema priority ya kwanza ni kutafuta suluhu kwa kikosi alichonacho. Haoni suluhu kwa kuingia sokoni January hii.
 
Arteta anasema priority ya kwanza ni kutafuta suluhu kwa kikosi alichonacho. Haoni suluhu kwa kuingia sokoni January hii.
Shida ni kikosi kidogo. Akiumia Jesus tunakosa mbadala wa striker/option ya RW. Saka na Sterling wakikosekana wote tunabaki na Trossard na Martinelli tu kwa wings na hao nao watachoka na kuumia.
 
Shida ni kikosi kidogo. Akiumia Jesus tunakosa mbadala wa striker/option ya RW. Saka na Sterling wakikosekana wote tunabaki na Trossard na Martinelli tu kwa wings na hao nao watachoka na kuumia.
Ni ishu imetusumbua kwa misimu miwili mfululizo kwanini kocha hakutaka kuaddress hii ishu? Badala yake akaja na Marquinhos na Kai kisha akawekeza nguvu kwa LB ambao nao ni injury prone
 
Wakati Odegaard ni majeruhi Arteta akaulizwa kwanini asimpe namba Nwaneri akajibu Nwaneri hayupo tayari.

Juzi dhidi ya Everton akamtoa Odegaard mapema na kumuingiza Nwaneri, mchezaji anayesema kwamba hayupo tayari.
 
Ni ishu imetusumbua kwa misimu miwili mfululizo kwanini kocha hakutaka kuaddress hii ishu? Badala yake akaja na Marquinhos na Kai kisha akawekeza nguvu kwa LB ambao nao ni injury prone
Kuna makosa anayafanya ambayo mashabiki tunaona anakosea ila yeye haoni. Anyway, mimi namuacha tu afanye kazi yake.
 
Wakati Odegaard ni majeruhi Arteta akaulizwa kwanini asimpe namba Nwaneri akajibu Nwaneri hayupo tayari.

Juzi dhidi ya Everton akamtoa Odegaard mapema na kumuingiza Nwaneri, mchezaji anayesema kwamba hayupo tayari.
Yule dogo anahitaji kucheza mechi nyingi kama akina Mainoo na Amad ili azoee kucheza kwa level ya juu. Awe anaingia hivyo kwa Odegaard na ikiwezeka awe anaingia kama left 8 ili kumpumzisha Merino na mbadala wa Havertz kwenye nafasi hiyo mara moja moja.
 
Baada ya injury ya Saka hiki kikosi ndiyo cha kutafutia ushindi. Hata mid game mnaweza switch to 4 2 3 1

Screenshot_2024-12-24-08-04-08-727_com.android.chrome-edit.jpg
 
"Timu gani inategemea kona?"

Saka kaumia
"Timu gani inamtegemea Saka?"

Odegaard kaumia
"Timu gani inamtegemea Odegaard?"

Saliba kaumia
"Timu gani inamtegemea Saliba?"

Hii timu haidai wala haidaiwi na mtu. Kwa level ya local competition haina cha kuprove, watabweka bweka na kujichekesha ila katika hao wengine washasahau kushinda kukoje, wengine nafasi walizopo ni mafanikio makubwa hawakuwaza wakati msimu unaanza.

Wanaingia tu threads za wanaume wanakosa cha kuandika wakimaliza wanaondoka

"Wanaingia tu threads za wanaume wanakosa cha kuandika wakimaliza wanaondoka"

Hao wanaume wenyewe sasa
1735021242985.jpg
 
Back
Top Bottom