Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa hivi city kuwapa namba academy wengi wameacha coz hawapo sure na ushindi
 
Dah ! Kenge leo tumekula kipondo ,aisee Merry Christmas Arsenyetoz wote duniani , naona mganga wenu anafanya vizuri , mnaroga sana sikuhizi mpaka , Ila kombe hambebi ,mtabeba karai la zege mwisho wa msimu
🤣🤣🤣🤣🤣Castr na genge lako
Sasa hivi city kuwapa namba academy wengi wameacha coz hawapo sure na ushindi
 
Dah ! Kenge leo tumekula kipondo ,aisee Merry Christmas Arsenyetoz wote duniani , naona mganga wenu anafanya vizuri , mnaroga sana sikuhizi mpaka , Ila kombe hambebi ,mtabeba karai la zege mwisho wa msimu
🤣🤣🤣🤣🤣Castr na genge lako
Leo mmenasa 😂
 
Kuna timu mbili ambazo kama zikishinda inakua advantage kwa Arsenal basi ni lazima zitafungwa.

Spurs na Brentford.
 
Kuna timu mbili ambazo kama zikishinda inakua advantage kwa Arsenal basi ni lazima zitafungwa.

Spurs na Brentford.

Hawa Brentford ni wadogo zetu/watoto wetu. Walikuwa ndani ya community projects za Arsenal na tumefanya mambo kadhaa kuwasaidia mpaka wakafika hapo walipo. Hawawezi kuwa wabatufanyia makusudi. Ila Spurs...
 
Huyu liva haaminiki
Ni m
Ni suala la muda!
kocha mpya bado wapinzani hawajamsoma tactics zake.
Next round watakuwa na wakati mgumu.
Binafsi naamini liver ya klop ilikuwa inatisha kuliko hii ya kipara pesa.
 
Ni m
Ni suala la muda!
kocha mpya bado wapinzani hawajamsoma tactics zake.
Next round watakuwa na wakati mgumu.
Binafsi naamini liver ya klop ilikuwa inatisha kuliko hii ya kipara pesa.
They are very electric and focused huku hawana majeruhi. Ni mapema kuwaona hawastahili kuwepo walipo.

Ruben ni kocha mpya ila anagalagazwa hapa mwanzo tu
 
Ipswich kesho tunawakaribisha Emirates.

Tuna injury mpya ya Saka na Sterling. Za zamani ni zilezile na prediction ni Jesus kucheza namba ya Saka.

But, mtu aliyekupa magoli 5 kwenye mechi mbili nahisi ni mbaya kumpanga sehemu itakayomnyima kuendelea kushine.

Namba ya Saka akae Odegaard. Mid ishikiliwe na Partey, Rice na Nwaneri. Nwaneri aachwe azurure afanye anachofanya Odegaard. Partey na Rice wasijisahau kuacha mid wazi.

Kesho biashara ifanywe mapema. This is our chance to show we belong in the convo regarding the title
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom