Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,811
- 13,764
Halafu anakujaga kufungwa goli za kipimbi.Yule Raya ni kama magician hachoki kukushangaza
Halafu anakujaga kufungwa goli za kipimbi.Yule Raya ni kama magician hachoki kukushangaza
Wamoto sana saa hii.Kama Jesus ataendeleza kasi yake ya sasa, without injuries, he is likely to own more than 3 balls before the end of the season
Wako form ila nyumbu ni majanga tu mwanzo mwisho.So Bournemouth walitufungaje? This is shit show, wao wabovu na nyumbu wabovu. No one has any plan
Habari nzuri pia, januari ndio hii wasajili mtu wa maana..Habari mbaya sana hii 🙆
Sio rahisi kupata a complete player kwenye dirisha hiliHabari nzuri pia, januari ndio hii wasajili mtu wa maana..
Hatari tupu, kila baada ya siku 3!!!!??
Hao wanaelekea kukata moto.Na wale wa London is blue wamechukua point moja kwa Everton.
Umesikika mkuu.Saka ni mchezaji kawaida sana hamuwezi kupata wakati mgumu bila yeye
Sawa Muumin Mwinjuma kocha la duniaSaka ni mchezaji kawaida sana hamuwezi kupata wakati mgumu bila yeye
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Raheem Sterling baada ya kusikia Saka kaumia akaenda kuangalia fixtures za january, alichokutana nacho kaamua kuutangazia umma kua na yeye kaumia atapona katikati ya january.Nakumbuka mlidanganya saka mgonjwa na atakosa Game yetu ya liverpool ila siku ya Game akaanza.
Leo naona kaumia ya kiukweli ukweli. Namtakia matibabu mema apone haraka.
Na huyu ndo mpiga kona wetu sisi boko haramu football....sasa kona zetu atapiga nani au patey...😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Raheem Sterling baada ya kusikia Saka kaumia akaenda kuangalia fixtures za january, alichokutana nacho kaamua kuutangazia umma kua na yeye kaumia atapona katikati ya january. View attachment 3183399View attachment 3183400View attachment 3183401