Mjusi_kafir
JF-Expert Member
- Dec 4, 2023
- 296
- 513
😃😃niliona hii kitu, yeye ni kupalamia tu watu bana.. 😃Duh huyu Calafiori mpaka mwenzie anamwambia polepole...
😃😃niliona hii kitu, yeye ni kupalamia tu watu bana.. 😃Duh huyu Calafiori mpaka mwenzie anamwambia polepole...
Halafu anakujaga kufungwa goli za kipimbi.Yule Raya ni kama magician hachoki kukushangaza
Wamoto sana saa hii.Kama Jesus ataendeleza kasi yake ya sasa, without injuries, he is likely to own more than 3 balls before the end of the season
Wako form ila nyumbu ni majanga tu mwanzo mwisho.So Bournemouth walitufungaje? This is shit show, wao wabovu na nyumbu wabovu. No one has any plan
Habari nzuri pia, januari ndio hii wasajili mtu wa maana..Habari mbaya sana hii 🙆
Sio rahisi kupata a complete player kwenye dirisha hiliHabari nzuri pia, januari ndio hii wasajili mtu wa maana..
Hatari tupu, kila baada ya siku 3!!!!??
Hao wanaelekea kukata moto.Na wale wa London is blue wamechukua point moja kwa Everton.
Umesikika mkuu.Saka ni mchezaji kawaida sana hamuwezi kupata wakati mgumu bila yeye