Mjusi_kafir
JF-Expert Member
- Dec 4, 2023
- 296
- 513
Waleteeee kati
Waleteeee kati
Kuna uhakika gani kuwa mkofanya usajili mtapata ushindi.Dhidi ya Newcastle kwenye nusu fainali ya Carabao itakua ni two legged tie.
First leg itachezwa January 7 na second leg itacheza February 4. Kwa kuzingatia jinsi tulivyo slow kusajili inawezekana first leg ikatukuta hatuna sajili mpya ya kuhakikisha ushindi.
Tujipange
Haina uhakika ila inaongeza % kwenye probability ya kushindaKuna uhakika gani kuwa mkofanya usajili mtapata ushindi.
Tunapaswa kushinda tu. Tulishindwa kwa Fulham ila huyu itabidi tu tumpige.Leo tuna game ya ligi na Crystal palace. Palace walituwekea their best team, sisi tukaweka wachezaji kadhaa ambao walitoka majeruhi na wengine siyo regular kwa first XI I have a feeling we can still win with the same forward given kwamba Partey abaki kati.
Partey atapangwa RB na genius wetu.Leo tuna game ya ligi na Crystal palace. Palace walituwekea their best team, sisi tukaweka wachezaji kadhaa ambao walitoka majeruhi na wengine siyo regular kwa first XI I have a feeling we can still win with the same forward given kwamba Partey abaki kati.
Amuamini Tierney na Timber.Partey atapangwa RB na genius wetu.
Hata mimi ningeenda na hii.Amuamini Tierney na Timber.
Partey akae kati
Huko kwa wenzetu ni humbleness continues
Hali ni mbaya. Aston villa wako hovyo kipindi hichi ila wamewafunga C115y, same na unitedHawajozea kabisa hii hali aisee
Hali ni mbaya. Aston villa wako hovyo kipindi hichi ila wamewafunga C115y, same na united
Hali ni mbaya. Aston villa wako hovyo kipindi hichi ila wamewafunga C115y, same na united


Kitu cha kuchekesha zaidi ArsaniNyau wanaojiona wako vizuri na kuwacheka Manshit lakini wamepishana points3 tu.Flano bado haupo kwenye level ya kuingizwa kwenye convo za timu zilizo serious. Toka nafasi ya 13 uje tuongee.Kitu cha kuchekesha zaidi ArsaniNyau wanaojiona wako vizuri na kuwacheka Manshit lakini wamepishana points3 tu.View attachment 3181775
Wataingia baadae, sio sahihi kukata mpapai kwa shokaKilio changu jesus aanze kama striker, sawa gabriel kaanza, lakini arteta kamtafutia havertz pa 😂kucheza
Kai hana mpira wa kumuweka benchi merino ama declan mchele.