Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dhidi ya Newcastle kwenye nusu fainali ya Carabao itakua ni two legged tie.

First leg itachezwa January 7 na second leg itacheza February 4. Kwa kuzingatia jinsi tulivyo slow kusajili inawezekana first leg ikatukuta hatuna sajili mpya ya kuhakikisha ushindi.
Tujipange
 
Dhidi ya Newcastle kwenye nusu fainali ya Carabao itakua ni two legged tie.

First leg itachezwa January 7 na second leg itacheza February 4. Kwa kuzingatia jinsi tulivyo slow kusajili inawezekana first leg ikatukuta hatuna sajili mpya ya kuhakikisha ushindi.
Tujipange
Kuna uhakika gani kuwa mkofanya usajili mtapata ushindi.
 
Leo tuna game ya ligi na Crystal palace. Palace walituwekea their best team, sisi tukaweka wachezaji kadhaa ambao walitoka majeruhi na wengine siyo regular kwa first XI I have a feeling we can still win with the same forward given kwamba Partey abaki kati.
 
Leo tuna game ya ligi na Crystal palace. Palace walituwekea their best team, sisi tukaweka wachezaji kadhaa ambao walitoka majeruhi na wengine siyo regular kwa first XI I have a feeling we can still win with the same forward given kwamba Partey abaki kati.
Tunapaswa kushinda tu. Tulishindwa kwa Fulham ila huyu itabidi tu tumpige.
 
Leo tuna game ya ligi na Crystal palace. Palace walituwekea their best team, sisi tukaweka wachezaji kadhaa ambao walitoka majeruhi na wengine siyo regular kwa first XI I have a feeling we can still win with the same forward given kwamba Partey abaki kati.
Partey atapangwa RB na genius wetu.
 
Tatizo hii jezi jau ugenini asee.
Anyway leo tunaendelea tulipoishia.
 

Attachments

  • IMG-20241221-WA0001.jpg
    IMG-20241221-WA0001.jpg
    256.7 KB · Views: 11
Hali ni mbaya. Aston villa wako hovyo kipindi hichi ila wamewafunga C115y, same na united

Sijui nisemeje. Kwanza, Pep hajazoea vipigo vingi ndani ya muda mchache kama hivi. Pili, C115y fans wengi walisasahau enzi zile za 90s na 00s ambazo vipigo vilikuwa kawaida kwao.

Na, sisi isingekuwa ile red card, huenda tungewashinda ile mechi na sisi tuliwakuta wakiwa bado wamoto.
 
Kitu cha kuchekesha zaidi ArsaniNyau wanaojiona wako vizuri na kuwacheka Manshit lakini wamepishana points3 tu.View attachment 3181775
Flano bado haupo kwenye level ya kuingizwa kwenye convo za timu zilizo serious. Toka nafasi ya 13 uje tuongee.

Hizo timu zinazochekelea kuifunga C115y ni moja tu imeifunga na Arsenal zingine hapo zimesuluhu na Arsenal na zingine zilivyofungwa zikaanza kulalamika kwanini zinaonewa.
 
Back
Top Bottom