Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa wahuni juu wanapress mnoo, hapa ni arsenal beki zake na partey kutuliza akili, pasi inabidi ziwe za mbele zenye kupenya frontline yao, ukiangukia kwa kina Odegaard tu, wao wanakuwa nusu uchi.. Zaidi ya hivyo watatusumbua sana labda wakate moto ama wapoteze umakini kwenye mchezo
 
Tunakosa mtu katikati wa kuituliza timu... Thomas Partey anapiga kazi mara mbili ndio maana kila muda tupo Vulnerable nyuma
 
Back
Top Bottom