Wells
Senior Member
- Apr 21, 2017
- 171
- 415
Kuna wakati Arteta anafanya mechi inakuwa ngumu kutokana na mahaba yake.. Kai Havertz ahead of Declan Rice ni Big No.. Kwa style hii tutasubiri sana.. Hata Kieran Tierney sioni sababu za kutoanza kwenye hii mechi.. Ni viburi tu vya makocha wa KihispaniaKilio changu jesus aanze kama striker, sawa gabriel kaanza, lakini arteta kamtafutia havertz pa 😂kucheza
Kai hana mpira wa kumuweka benchi merino ama declan mchele.