Goli la kwanza lilionyesha mipango la pili ni matokeo ya high pressing, la 3 limeonyesha poor form ya mguu wa kulia wa Saka na kua wakati sahihi na muda sahihi kwa Kai.
Tulikua na big chances 6. Tatu zilizokoswa ni zimeonyesha udhaifu wa forwards zetu kwenye 1 v 1. Hapa Odegaard na Jesus walibaki na kipa na hakuna aliyekua na composure wala skills kwenye execution.
Against timu kama Fulham ambazo zipo nyingi EPL hupati hizo 1 v 1 unabaki kutegemea crosses ambazo wamaliziaji hua hawapo sehemu sahihi.
Martinelli is shaky. Kuna watu online wanasema hua anaangalia sana chini hadi hajui anapoenda. Mimi namuona mchezaji ambaye confidence imekata kwakua kila ambacho zamani alifanya kilikua sahihi sasa hivi hakiwork tena.
Lewis-Skelly ana pasi nzuri yule dogo, jana ni mwendelezo wa pasi zake ambazo magoli yalianzia hapo. Kuna watu pia wanasema Arsenal imchukue Arda kwa mkopo kutoka Madrid na nikawahi kusema sasa kwanini game time asigewe Nwaneri badala ya kuleta mtoto mwingine ambaye timu yake imeshindwa kumpa game time?
Tulikua na Chido. Great goal scorer akaenda united kwakua scale yetu ya mshahara haikusapoti alichotaka alipwe. Juzi nikaona sehemu inasema alienda united kwakua ina sera nzuri ya academy kuingizwa first team.
Ni uongo ila ni ngumu kuoverlook kama wachezaji kama Nwaneri huwapi game time.
Tulikua na big chances 6. Tatu zilizokoswa ni zimeonyesha udhaifu wa forwards zetu kwenye 1 v 1. Hapa Odegaard na Jesus walibaki na kipa na hakuna aliyekua na composure wala skills kwenye execution.
Against timu kama Fulham ambazo zipo nyingi EPL hupati hizo 1 v 1 unabaki kutegemea crosses ambazo wamaliziaji hua hawapo sehemu sahihi.
Martinelli is shaky. Kuna watu online wanasema hua anaangalia sana chini hadi hajui anapoenda. Mimi namuona mchezaji ambaye confidence imekata kwakua kila ambacho zamani alifanya kilikua sahihi sasa hivi hakiwork tena.
Lewis-Skelly ana pasi nzuri yule dogo, jana ni mwendelezo wa pasi zake ambazo magoli yalianzia hapo. Kuna watu pia wanasema Arsenal imchukue Arda kwa mkopo kutoka Madrid na nikawahi kusema sasa kwanini game time asigewe Nwaneri badala ya kuleta mtoto mwingine ambaye timu yake imeshindwa kumpa game time?
Tulikua na Chido. Great goal scorer akaenda united kwakua scale yetu ya mshahara haikusapoti alichotaka alipwe. Juzi nikaona sehemu inasema alienda united kwakua ina sera nzuri ya academy kuingizwa first team.
Ni uongo ila ni ngumu kuoverlook kama wachezaji kama Nwaneri huwapi game time.