Arsenal (The Gunners) | Special Thread




Mpaka saa hii kwenye fotmob watu zaidi ya 20,000 wamepiga kura kusema united anashinda, 18,000 wanasema Arsenal anashinda na 4000 wanasema mechi itakua suluhu.

Hata hivyo Betpawa wamepiga odd 1 Arsenal na United kagewa 7.

Mashabiki wa united wameridhishwa na mechi kadhaa za Hakika Ruben na sasa wanaamini wapo on the right track kumfunga yeyote.

Kwa Arsenal, Partey, Gabriel na Calafiori wamefanya mazoezi na timu na Wana % kubwa za kuwepo mechi ya Kesho. Merino bado medical team haina uhakika kama atakuepo. Katika midfielders wetu ni Merino na Nwaneri ndiyo wamekua wakifanya long range shooting mara nyingi.

Tuliwahi kua na Xhaka Kwa kazi hiyo ila hatujapata mwingine. Let us see mid yetu itachoweza kudeliver Kesho.
 
Wana mmeshampachika jina na huyu tena
Eti hakika ruben 😁
 
Hakuna mbadala wa Orde nakukatalia mbadala yupo Ethan Nanweri pure Talanta anafit kucheza namba 10 ila Arteta mpumbavu hampi nafasi.
 
itakuwa siku nzuri sana kama man u akila 5+ kisha liver akapoteza, man city akafungwa tena aendelee kustay humble
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…