Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hatuwezi kuruhusu kupoteza mechi hii, haiwezekani kabisa! muda bado upo lakini Djorou na Santos wanaonekana hawajiamini hata kidogo.
 
Wachezaji wetu hawataki kabisa kutumia nguvuza ziada ku-protect mpila, wao wakiguswa kidogo tu wanaachia.
 
jamani nimepoteza kware wangu.... naskia anapena kuishi kama bundi!!! hutua kwenye misiba tu...ana matatizo kidogo ya ufahamu
BobwhiteQuailHen.JPEG
 
Back
Top Bottom