Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa wetu....... Sasa waache Useeeeeeellllaaaa wa kukosa magoli.... Tutawapiga......
 
oooops!!!! slightly offside! lakini huyu Santos leo anaweza kutusaidia sana.
 
Gooooooooooooooooooooooooaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal ..... Captain fantastic, John Terry makes it 2-1 in front of the big German.
 
ndio yule mwenye mtindio wa ubongo?!
shauri yako... ni bingwa wa kushtaki, see his special photo in heyday
california_quail_1.jpg
 
Hilo goli la kipumbavu sana.

Beki inaua.
kuna jamaa alisema metersacker alipokua bayern walikua timu ya pili kwa ku-concede goals last season ila walikua na strikers wazuri... this season bayern wametight sana defence

and santos is good for italian footbal not english, sielewi kwanini walimuachia clichy na yule mibange maana hata huko walipoenda hawatumiki
 
Yaani hii game tusiposhinda sijui kutakua kuna sababu gani ya WHY NOT????? Hawa Chelsea wepesi sana........ Mistakes za kibwege upande wa ulinzi na Kukosa magoli ambayo haifai kukosa ndo kumetucost in this 1st half..........
 
Mwacheni Kware Wacha1 sasa hivi anatetemeka kama Simu ya Mchina iki vibrate! namna alivyo sasa hivi ukitumia Charity picha yake basi utapata msaada wa pesa nyingi.
 
Walcott hua namtukana kila siku lakini leo kajitahidi kwenye kutoa mapande.


Ramsey pia kapiga game poa so far.
 
Aisee nilijua 1- 1 half time kumbe kujipindua dk oja tu tu jamaa waeongeza la pili. Kazi tunayo
 
Back
Top Bottom