Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ila Arsenyetoz aisee ,yaani na vichwa vyenu vikubwa hivyo kama mitungi ya gesi mnakaa na kuota kwamba leo mnashinda mbele ya kings wa London , mmeshindwa kuwafunga Newcastle ,mje mtutambie sisi ?
Kweli uchawi upo ,na aliyewaloga ameshakufa
 
Leo hizo pombe zenu zitaisha
Tukiwa wabovu hivi.

Next match ikawa dhidi ya Kenge, mna kipa anaitwa Mendy.

Tukawanyoosha 3
images.jpeg
 
Sijaelewa hii kitu.
Huo msimu ilikua next match baada ya hizo kumi tunaenda kucheza na chelsea.

First leg walitufunga 2, Lukaku akiwemo. Second leg ndiyo ilikua tunakutana baada ya hiyo worst form.

Tukashinda 3. Chelsea walikua na kipa anaitwa Mendy, alikua anasifiwa sana kwenye kudaka
 
Nyie KENGE, mpooo
 

Attachments

  • Screenshot_20241110_174026_BeSoccer.jpg
    Screenshot_20241110_174026_BeSoccer.jpg
    132.7 KB · Views: 15
Back
Top Bottom