whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,190
- 2,541
Hawa watoto ilitakiwa hadi sasa wawe washakula viwili hivi
Simuoni next season kwenye timuJesus namedrop sana kiwango
Dah 😅Hii second half tactics inaweza kutuponza
Takataka ya Chelsea imesawazishaTimu imejaa takataka za Chelsea, unategemea nini?
Hizo mbeleko mnazobebwa nazo its a matter of time.KENGE NYIE NA BADO
Kenge kabisaImelala hiyo