Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo mnakaangwa kaka ,Mashetani yamewapanda Leicester ,mmekslia nafasi yetu muda mrefu ninyi matapeli ,ni muda muafaka wa kuachia ngazi ,real champions WA England tunaclaim nafasi yetu .
Epl imenajisiwa kwa muda mrefu
🤣 Hahaha
 
Kuna pattern naiona hapa.

Arteta alilazimisha kumchezesha Kai games nyingi hata baadhi ya defeats na draws zilisababishwa na uwepo wa Kai.

Saa hii anamchezesha Calafiori ingawa kuna makosa yanaonekana kwa urahisi tu. Notice kwamba Kiwior did a better job.

Ila kocha anakomaa na Calafiori.

Absurd
 
Anaingia Nwaneri na unaona kaingia mchezaji ana hamu alete impact
 
Kuna pattern naiona hapa.

Arteta alilazimisha kumchezesha Kai games nyingi hata baadhi ya defeats na draws zilisababishwa na uwepo wa Kai.

Saa hii anamchezesha Calafiori ingawa kuna makosa yanaonekana kwa urahisi tu. Notice kwamba Kiwior did a better job.

Ila kocha anakomaa na Calafiori.

Absurd
Calafioti is not that much bad nadhani unamchukia tu
 
Back
Top Bottom