the palace
JF-Expert Member
- Jan 11, 2018
- 365
- 1,080
Shindeni wanetu ,,,, bado dkk 20 !
Leo mnakaangwa kaka ,Mashetani yamewapanda Leicester ,mmekslia nafasi yetu muda mrefu ninyi matapeli ,ni muda muafaka wa kuachia ngazi ,real champions WA England tunaclaim nafasi yetu .Nakwambia ukweli unasema visingizio
🤣 HahahaLeo mnakaangwa kaka ,Mashetani yamewapanda Leicester ,mmekslia nafasi yetu muda mrefu ninyi matapeli ,ni muda muafaka wa kuachia ngazi ,real champions WA England tunaclaim nafasi yetu .
Epl imenajisiwa kwa muda mrefu
Hata hivyo we are not really a threatLeicester wanadefend vizuri
Leicester hawana clean sheet hadi leo, defense yao siyo nzuri.Leicester wanadefend vizuri
Tunatakiwa kumove mpira chap kwenye eneo laoHata hivyo we are not really a threat
Calafioti is not that much bad nadhani unamchukia tuKuna pattern naiona hapa.
Arteta alilazimisha kumchezesha Kai games nyingi hata baadhi ya defeats na draws zilisababishwa na uwepo wa Kai.
Saa hii anamchezesha Calafiori ingawa kuna makosa yanaonekana kwa urahisi tu. Notice kwamba Kiwior did a better job.
Ila kocha anakomaa na Calafiori.
Absurd
Hua mnanishangaza mnaokimbilia kusema mtu anamchukia mchezajiCalafioti is not that much bad nadhani unamchukia tu