Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Liva anakutana na wolves, wolves wapo kwenye formya hovyo kwa sasa so hata kama leo tukishinda inakua ni step tu ya kumaanisha tunafanya kitu sahihi na impact itakua ni ya long run ila siyo leo leo.

So tujiandae
 
Imagine muda huu Calafiori anacheza pembeni ya Partey na wapo huku kwa Saka kabisa 😅
 
Huyu Calafiori ananikumbusha nyumbu walimsajili Telles kama LB, kocha wao akaanza kumchezesha kama winger.

Wangekua na Calafiori wangemchezesha ST
 
Nafikiri zilikua zimebaki timu nne ambazo hazijapoteza mechi.

Brighton akipasuka leo anapunguza idadi
 
Back
Top Bottom