arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Mkuu sijaona ukikitaja kiwanja cha Stamford bridge au kile ni kiwanja chetu cha mazoezi🤠🤠🤠....
Ni suala la mashabiki na vilabu kubadili tu mtazamo wao kuhusu arsenal.mfano.
-ilizoeleka ukitaka kuwashinda arsenal, bully them.kwasasa kuna watu ni wababe balaaa
-ilizoeleka arsenal hatuwezi physical games.aisee usijaribu kupishana na sisi ili eneo maana utaumia.kuna watu wana msuri balaa na kama huamini muulize haaland.
-ilizoeleka arsenal hatuwezi big games hasa kwenye viwanja korofi kama OT,anfiled,etihad na uwanja wa tot ila kwasasa we tuite popote na utapewa show ya kibabe.
-Ilizoeleka tuna kocha mstarabu,mpole na anamwachia mungu ila kwasasa we have a dark arts master coach.anamoto,ana midadi na anapambana jino kwa jino
-Ilizoeleka sisi ni wazee wa beautiful football na entertainers ila kwasasa ni mabingwa wa haramu football.juzi tulipaki meli nchi kavu
-Ilizoeleka mchezaji akikosa plan A na B basi anaamua kuja kwetu.kwasasa sisi tunachagua nani aje na nani asije.Tukikwambia njoo ukileta poz ni haturudi mazima.
Onyo:mashabiki wa timu pinzani mna muda wa kufurahi kipindi hiki hatuna proper striking force,ila siku tukipata striking force ya maana trust me mtajuta kukutana na sisi.
Kiangazi anaondoka jogi,partey na jesus halafu watakuja watu hasa na natamani midle iwe na mchanganyiko wa mhispania na mtu toka america.deadly and leathal