Moja ya mechi bora sana kuwahi kushuhudiwa,leo Ateta ametuonyesha ni kwa namna gani anaendelea kujifunza kucheza na timu ngumu kwa wakati mgumu kama huu.
Big up gunners
Tafuteni mwalimu wa nidhamu mapema, la sivyo kila mechi mtapoteza mchezaji kwa red card. Sheria ya kupiga mpira mbali baada ya refa kupuliza kipenga imetiwa mkazo msimu huu.
Marefa wa England huwa ni wapuuzi sana na ndio maana wanaongoza kwa kuchikiwa na mashabiki wa mpira kutokana na maamuzi yao yasiokuwa na busara.
Kama huyu Michael Oliver ndio hamna kitu kabisa tangu nimuone akiwanyonga Juve dhidi ya real Madrid mwaka 2018 nikajua kabisa huyu ni referee wa ovyo asiyejua afanya maamuzi gani yaliyo sahihi kulingana na mechi.