Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timber alikuwa uchochoro??nadhani tumeangalia TV tofauti,naamini Timber amepiga ball la uhakika sana
Kipindi cha pili kazikdiwa Sana kama ulikuwa makini kuangalia ,,,hata mashambulizi mengi ya spurs yametokea upande wake
 
Ukitaka kumkaba kama mshambuliaji unamkuta zake anacheza kiungo ,mkishambulia unamkuta zake anacheza beki, tukiwashambulia unakuta anacheza mshambuliaji Tena anafika wa kwanza kutupia kamba...

King KaiView attachment 2956276
"Ukitaka kumkaba kama mshambuliaji unamkuta zake anacheza kiungo ,mkishambulia unamkuta zake anacheza beki, tukiwashambulia unakuta anacheza mshambuliaji Tena anafika wa kwanza kutupia kamba..."

hamis77

Screenshot_20240915_192823_Chrome.jpg
 
Next game mwendo ni huu huu.

Kaeni na mpira mnavyotaka ila tunatafuta points
Jamaa ni viazi sana. Miaka Ile gizani kweusi, tunapiga mpira mkubwa bila matokeo, wanatusema.

Miaka hii tukiamua tunapiga pira bora liende huku tunatoka na matokea, nayo hawataki pia.

Wasichoelewa sisi tunachofanya Sasa hivi ni kupunguza gape na City, asitupite nyingi. Af akina Merino wakirudi ndo gari linawaka sasa
 
Jamaa ni viazi sana. Miaka Ile gizani kweusi, tunapiga mpira mkubwa bila matokeo, wanatusema.

Miaka hii tukiamua tunapiga pira bora liende huku tunatoka na matokea, nayo hawataki pia.

Wasichoelewa sisi tunachofanya Sasa hivi ni kupunguza gape na City, asitupite nyingi. Af akina Merino wakirudi ndo gari linawaka sasa
Timu haina wachezaji wa kikosi cha kwanza imestep up vizuri mi sijaona shida.

Defense ilikua nzuri, shida ya forwards zetu kukosa clear chances bado ipo
 
Back
Top Bottom