punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 451
Hongereni sana wenyeji! Muhimu mmeondoka na point tatu.
Ulitaka nikushike mkono, natayarisha ungo hapa kurudi Alaska haraka inavyowezekana, maana kuna kimbunga kinakuja huko juu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Wacha fujo khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee nawachubiri wale wanoko waliokuwa wananichubiri toka jana .... ...
Kabisa mkuu ila chenga mmewala na goli mmepata,jitahidini sana ila mkicheza hivyo na Stoke City then mtafungwa nyingi maana wale wanatumia minguvi mingi na akili.......ila zaidi hongereni sana kwa ushindi wa leo......
Naona umefufuka leo chichi hatutegemei magoli ya matuta khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nachikia Peasant wote wamekimbia khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
Naona umefufuka leo chichi hatutegemei magoli ya matuta khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nachikia Peas of ant wote wamekimbia khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mkuu tayari unaangalia mechi yetu ijayo ..... ..... vipi nyie mnategemea magoli ya matuta tena kwa Mancs na mpira mliocheza jana? Wacha ngebe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee habari ya Stoke tuachie wenyewe ..... . ..
Walcott sijui ana matatizo gani siku hizi..Huu ndo muda mzuri wa oxlade kupata namba.
"0 - Plzen are only the 2nd team to fail to manage a shot in a CL game in the last five seasons (after Arsenal vs Barça in 10/11). Blank."
Hahahahaa unajua sana kujitetea, Hamna mkuuu ila ndio huo ukweli, wale utaona tutavyowatandika wala hapo usijali, ila nyinyi ndio naangalia game yenu na Stoke sijui itakuwaje naamini hiyo siku utapotea hapa jukwaani kama leo ulipotea kimtindo,Zaidi sisi tunawapiga magoli hatusubirii matuta, hivi kwanza nikumbushe magoli ya matuta mara ya mwisho lini tumepata??ila kwa ile defence yenu yule mchezaji wa Stoke anaitwa WALTERS atawaliza tu najuwa!!
Jana ..... .... ...... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee yaani mtashinda kwa mpirakama wa jana? Naona safari hii bahasha zimewahi lakini mwisho wa mwezi bado khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mkuu wamepewa na Referee wao Mark clattenburg,J'pili tutashuhudia 12 against 11.Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mkuu tayari unaangalia mechi yetu ijayo ..... ..... vipi nyie mnategemea magoli ya matuta tena kwa Mancs na mpira mliocheza jana? Wacha ngebe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee habari ya Stoke tuachie wenyewe ..... . ..
Sawa mkuu,hivyo hivyo.Kagoli kamoja safi, a clean sheet and one more win basi tunasonga mbele.
Sie mdogo mdogo mpaka tutafika, manguli wa kutuponda wacha waponde, sie mbele kwa mbele tu!
Ila Andrei Arshavin itabidi tu aondoke msimu ukiisha, aise, sikuamini macho yangu!
Tuko pamoja mkuu.Habarini wana Gunners wenzangu,tupo pamoja wakuu.Tujipongeze kwa ushindi wa leo,na imani kabisa huo ni mwanzo tu,Hii ni baada ya wachezaji kuanza kuelewana vizuri.Japokuwa defence yetu bado haijakamilika lakini baada ya wiki mbili TV5 anarudi hapo ndo moto wake utashika kasi ya ajabu.