Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,249
- 2,156
Soon and very soon you are going to swallow your words.
Hahaha mambo magumu bado mkuu!!
Soon and very soon you are going to swallow your words.
Arshavin vipi? Si bora yule dogo Chamberlain au mnasemaje wakuu?
Kimenukia!!!
Jana ulikuwa wapi Wacha ngebe! khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee unakuja jipitisha pitisha huku ... ....
BTW ulilala usingizi wa pono?
Zigo linapasha
Mmeona ile handball ... .... hivi hawa officials wanaokaa nyuma ya magoli kazi yao ni kula mpunga bila kufanya any decisions? Muda umefika wa kutumia technology .... ..... ...... .... .....