Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ishara sio nzuri kwa kila aliye mbele yetu
Partey kagoma kuondoka...kasema anaona bdo ana kama miaka 3 mbele ya kucheza pale hata kama bila malipo Ili afidie kipindi ambacho alikuwa majeruhi....aisee kwakwli Manunu...Chelkenge na livakuku wasilete timu uwanjani....watadhalilikA....Man City mwaka huu hawatapata on target hata moja tukicheza nao
 
Japo dirisha la usajili halijaisha (
5 days remains),lakini binafsi ninasikitishwa sana na mwenendo wa usajili wa timu yetu.Katika dirisha ambalo nilijua tutamalizana na usajili mapema sana ni dirisha hili.

Na miongoni mwa nafasi ambazo mtu/watu walikuwa wawe washaletwa mapema ni winger na/au striker wa kuamua matokeo muda wowote ule.

Nico Williams na Osimnhem/Gyokeres muda huu walitakiwa wawe tayari ndani ya uzi mwekundu.

Kama alivyosema mdau mmoja juu huko, timu tunayo, ila na wengine timu wanazo pia. Je tupo kamili ku compete nao?
kiufupi swala la arsenal kusajili dawa yake bado hatujaipata tuna action za kitoto mnooo
cheki dili la merino limechukua karne kumalizika
tangia msimu hujaanza it was clear tunahitaji back up ya saka na striker mpaka leo mzeee!!!!!
checki quickness ya man city or bayern or madrid or chelsea kwenye usajili they are so fast kwenye recruitment

Trust me bro deal la merino lingekuwa man city or liverpool lingekuwa limeisha hata kabla hajaenda euro
 
kiufupi swala la arsenal kusajili dawa yake bado hatujaipata tuna action za kitoto mnooo
cheki dili la merino limechukua karne kumalizika
tangia msimu hujaanza it was clear tunahitaji back up ya saka na striker mpaka leo mzeee!!!!!
checki quickness ya man city or bayern or madrid or chelsea kwenye usajili they are so fast kwenye recruitment

Trust me bro deal la merino lingekuwa man city or liverpool lingekuwa limeisha hata kabla hajaenda euro
Mkuu rais wa klabu Yao alikuwa anataka package ya €40 million Ili dili liwezekane...kwa mchezaji alobakisha mwaka mmoja huwezi kukurupuka tu kutoa mahela yte hayo....wakati mwingine unarefusha mambo Ili kumuweka muuzaji kwny angle ambayo hataweza kukupelekesha.... strategy ya sasahivi ya klabu ni kuongea na mchezaji kwanza awe anataka kuja kwetu tu na asiwe na akili mbili halafu unaenda kupatana Bei Ili hata kama klabu yake ikiweka ngumu....mchezaji anaenda front kuwaambia mm nataka kusepa na ndo kilichotokea kwa Merino na Calafiori....unawasema Liverpool kimewakuta nn kwa Zubimendi...si kawakataa kweupe tu pamoja na kutaka ku meet release clause...Chelsea wanalipa over the odds kwa sababu hawana namna na sometimes Ina backfire...mfano mzuri Mudryk mpk kocha wake kashaanza kumpa mabango kwamba haridhishwi naye...Sterling the same...kwhyo ulalamishi mwingi sio mzuri...tupo kwny nafasi ambayo hatuwezi kukubali kupelekeshwa na uzuri huwa tuna plan A na B....kuuzwa kwa Eddie nketiah...surely kuna mtu mwingine anakuja pale Emirates...tukae tu enjoy huu msimu vipondo tutakavyotembeza ndugu zangu🤠🤠
 
kiufupi swala la arsenal kusajili dawa yake bado hatujaipata tuna action za kitoto mnooo
cheki dili la merino limechukua karne kumalizika
tangia msimu hujaanza it was clear tunahitaji back up ya saka na striker mpaka leo mzeee!!!!!
checki quickness ya man city or bayern or madrid or chelsea kwenye usajili they are so fast kwenye recruitment

Trust me bro deal la merino lingekuwa man city or liverpool lingekuwa limeisha hata kabla hajaenda euro
Kaka mchezaji kasema anaitaka Arsenal.

Sociedad wako tayari kumuuza.

Changamoto ikawa structure ya malipo.

Kila upande unataka uvutie kwake.

Kama wewe unikopeshe laki nakuambia nitakupa laki na ishirini ila kwa miaka 7.

Wewe useme hapana, mimi nataka miaka 4 hapo ndiyo ilikua changamoto.

Chelsea kamtaka Osimhen kaambiwa atoe 120M timu ya Saudi imeambiwa itoe 65M. Why? Timu ya Saudi inamwaga mpunga wote kwa mara moja.

Unaisifia Liverpool lakini ni wao wameshindwa kumaliza deal la Zubimendi. Na sasa hivi wanamtaka Chiesa.

Kwenye usajili ni changamoto. Mchezaji anawataka ila timu inafocus na maslahi yake.
 
Timu inahitaji striker na winger hata mmoja, huyu martinelli simuamini..

Timu inaanzia kwenye mbinu za mwalimu kisha uwezo wachezaji mmoja mmoja, tulipofikia sasa tunahitaji ubora wa mchezaji kutubeba, tubahitaji striker wa uhakika na winger mmoja wa uhakika pia.
 
Timu inahitaji striker na winger hata mmoja, huyu martinelli simuamini..

Timu inaanzia kwenye mbinu za mwalimu kisha uwezo wachezaji mmoja mmoja, tulipofikia sasa tunahitaji ubora wa mchezaji kutubeba, tubahitaji striker wa uhakika na winger mmoja wa uhakika pia.
Ndio maana Trossard hana furaha, anaamini sio wa kukalishwa benchi na Martinelli
 
Kwanini graduates wengi wa Hale End hawawi tishio hapo Arsenal?

Balogun, Emile, Serge, Malen, Nketiah, Patino, Nelson n.k.

Wakiwa academy wote tunakubali kwamba wanaonyesha kuimprove maajabu yake ni kwamba baada ya muda wanakua hawaendani na senior team wanauzwa.
 
Ndio maana Trossard hana furaha, anaamini sio wa kukalishwa benchi na Martinelli
Na huo ni ukweli.. Martinelli kawa anaruka ruka tu, nadhani ni msimu uliopita niliandika juu ya mashaka yangu kwa saka na martinelli, tokea hapo martinelli namuona hovyo hovyo tu.
Nikauliza saka na martinelli ukiwapeleka everton ama westham watashine hivi, na je yule kudus akija arsenal atakuwaje..

Baada ya mfumo, kifuatacho ni mchezji binafsi kufanya ya ziada.
 
Hizo rumors za Nunez to Arsenal are wide of mark!!!! Watu wamejazwa upepo na kujazika kisawasawa.

Imemikumbusha last month tetesi A GERMAN MYSTERIOUS PLAYER to Arsenal
 
Kwanini graduates wengi wa Hale End hawawi tishio hapo Arsenal?

Balogun, Emile, Serge, Malen, Nketiah, Patino, Nelson n.k.

Wakiwa academy wote tunakubali kwamba wanaonyesha kuimprove maajabu yake ni kwamba baada ya muda wanakua hawaendani na senior team wanauzwa.
Uvumilivu nao muhimu.
 
Kwanini graduates wengi wa Hale End hawawi tishio hapo Arsenal?

Balogun, Emile, Serge, Malen, Nketiah, Patino, Nelson n.k.

Wakiwa academy wote tunakubali kwamba wanaonyesha kuimprove maajabu yake ni kwamba baada ya muda wanakua hawaendani na senior team wanauzwa.
iv patino kumbe aliuzwa?
 
Back
Top Bottom