Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,485
- 2,752
Hivi jezi namba 10 wachezaji wetu wanaiogopa?hakuna anayeivaa.
Partey kagoma kuondoka...kasema anaona bdo ana kama miaka 3 mbele ya kucheza pale hata kama bila malipo Ili afidie kipindi ambacho alikuwa majeruhi....aisee kwakwli Manunu...Chelkenge na livakuku wasilete timu uwanjani....watadhalilikA....Man City mwaka huu hawatapata on target hata moja tukicheza naoIshara sio nzuri kwa kila aliye mbele yetu
kiufupi swala la arsenal kusajili dawa yake bado hatujaipata tuna action za kitoto mnoooJapo dirisha la usajili halijaisha (
5 days remains),lakini binafsi ninasikitishwa sana na mwenendo wa usajili wa timu yetu.Katika dirisha ambalo nilijua tutamalizana na usajili mapema sana ni dirisha hili.
Na miongoni mwa nafasi ambazo mtu/watu walikuwa wawe washaletwa mapema ni winger na/au striker wa kuamua matokeo muda wowote ule.
Nico Williams na Osimnhem/Gyokeres muda huu walitakiwa wawe tayari ndani ya uzi mwekundu.
Kama alivyosema mdau mmoja juu huko, timu tunayo, ila na wengine timu wanazo pia. Je tupo kamili ku compete nao?
No body in no body outNketiah gone
Merino in
Update source of info chiefNo body in no body out
Mkuu rais wa klabu Yao alikuwa anataka package ya €40 million Ili dili liwezekane...kwa mchezaji alobakisha mwaka mmoja huwezi kukurupuka tu kutoa mahela yte hayo....wakati mwingine unarefusha mambo Ili kumuweka muuzaji kwny angle ambayo hataweza kukupelekesha.... strategy ya sasahivi ya klabu ni kuongea na mchezaji kwanza awe anataka kuja kwetu tu na asiwe na akili mbili halafu unaenda kupatana Bei Ili hata kama klabu yake ikiweka ngumu....mchezaji anaenda front kuwaambia mm nataka kusepa na ndo kilichotokea kwa Merino na Calafiori....unawasema Liverpool kimewakuta nn kwa Zubimendi...si kawakataa kweupe tu pamoja na kutaka ku meet release clause...Chelsea wanalipa over the odds kwa sababu hawana namna na sometimes Ina backfire...mfano mzuri Mudryk mpk kocha wake kashaanza kumpa mabango kwamba haridhishwi naye...Sterling the same...kwhyo ulalamishi mwingi sio mzuri...tupo kwny nafasi ambayo hatuwezi kukubali kupelekeshwa na uzuri huwa tuna plan A na B....kuuzwa kwa Eddie nketiah...surely kuna mtu mwingine anakuja pale Emirates...tukae tu enjoy huu msimu vipondo tutakavyotembeza ndugu zangu🤠🤠kiufupi swala la arsenal kusajili dawa yake bado hatujaipata tuna action za kitoto mnooo
cheki dili la merino limechukua karne kumalizika
tangia msimu hujaanza it was clear tunahitaji back up ya saka na striker mpaka leo mzeee!!!!!
checki quickness ya man city or bayern or madrid or chelsea kwenye usajili they are so fast kwenye recruitment
Trust me bro deal la merino lingekuwa man city or liverpool lingekuwa limeisha hata kabla hajaenda euro
Kaka mchezaji kasema anaitaka Arsenal.kiufupi swala la arsenal kusajili dawa yake bado hatujaipata tuna action za kitoto mnooo
cheki dili la merino limechukua karne kumalizika
tangia msimu hujaanza it was clear tunahitaji back up ya saka na striker mpaka leo mzeee!!!!!
checki quickness ya man city or bayern or madrid or chelsea kwenye usajili they are so fast kwenye recruitment
Trust me bro deal la merino lingekuwa man city or liverpool lingekuwa limeisha hata kabla hajaenda euro
Hizo habari zipo ila wale jamaa hawatakaa watuuzie kamwe...Kuna tetesi za Arsenal na Darwin Nunez, ikiwa kweli tuna interest naye, safi.
Akija na akatuliza akili, atatufaa sana huyu jamaa.Kuna tetesi za Arsenal na Darwin Nunez, ikiwa kweli tuna interest naye, safi.
Ndio maana Trossard hana furaha, anaamini sio wa kukalishwa benchi na MartinelliTimu inahitaji striker na winger hata mmoja, huyu martinelli simuamini..
Timu inaanzia kwenye mbinu za mwalimu kisha uwezo wachezaji mmoja mmoja, tulipofikia sasa tunahitaji ubora wa mchezaji kutubeba, tubahitaji striker wa uhakika na winger mmoja wa uhakika pia.
Na huo ni ukweli.. Martinelli kawa anaruka ruka tu, nadhani ni msimu uliopita niliandika juu ya mashaka yangu kwa saka na martinelli, tokea hapo martinelli namuona hovyo hovyo tu.Ndio maana Trossard hana furaha, anaamini sio wa kukalishwa benchi na Martinelli
Uvumilivu nao muhimu.Kwanini graduates wengi wa Hale End hawawi tishio hapo Arsenal?
Balogun, Emile, Serge, Malen, Nketiah, Patino, Nelson n.k.
Wakiwa academy wote tunakubali kwamba wanaonyesha kuimprove maajabu yake ni kwamba baada ya muda wanakua hawaendani na senior team wanauzwa.
iv patino kumbe aliuzwa?Kwanini graduates wengi wa Hale End hawawi tishio hapo Arsenal?
Balogun, Emile, Serge, Malen, Nketiah, Patino, Nelson n.k.
Wakiwa academy wote tunakubali kwamba wanaonyesha kuimprove maajabu yake ni kwamba baada ya muda wanakua hawaendani na senior team wanauzwa.
Kauzwa dirisha hiliiv patino kumbe aliuzwa?