Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyumbu alisuluhu na Academy ya City kwenye community shield. Upuuzi wanaofanya leo siyo bahati mbaya
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hao ni wazee wa false hopes huwezi badilisha mindset zao.
Mkuu Castr Joshua Zirkzee umemuona lakini?
Haaland ana mengi sana ya kujifunza kutoka kwa teka la boli Jay-Z.
GVIgtg_XsAAVd3L.jpg
 
Hua tunasema nyumbu hawajui mpira kila msimu wanathibitisha.

Jana wameshinda 1 wanaongoza ligi.

Wanaanza kutamba kwamba it's cold.

Hawajui kua mechi zingine zinachezwa leo na watu watafungana magoli mengi
 
Hua tunasema nyumbu hawajui mpira kila msimu wanathibitisha.

Jana wameshinda 1 wanaongoza ligi.

Wanaanza kutamba kwamba it's cold.

Hawajui kua mechi zingine zinachezwa leo na watu watafungana magoli mengi
mnaojua mpira mmebeba nini last season?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom