Kama hatutofanya usajili kwenye hayo maeneo sitegemi chochote msimu huu.Iko wazi anahitajika ST na RW.
Ila dah 😅
Una moyoMsimu huu tunashinda ligi nani anabisha? kama unabisha nyoosha mkono tukuone.
Miguvu kibao akili hamnaAdama siyo mchezaji
Ulitaka afanye nini kwa THE BUTCHER? ametulizwa.Adama siyo mchezaji
Ujinga wake hajauanza janaUlitaka afanye nini kwa THE BUTCHER? ametulizwa.
Kwa jana aliyecheza vizuri ni Amad na Lisandro.Hao ni wazee wa false hopes huwezi badilisha mindset zao.
Mkuu Castr Joshua Zirkzee umemuona lakini?
Haaland ana mengi sana ya kujifunza kutoka kwa teka la boli Jay-Z.View attachment 3072443
Kwa jana aliyecheza vizuri ni Amad na Lisandro.


kwa hio ina maana hata Mazarau (Mazraoui) jana haukumuona jinsi alivyokua anakichafua? Nenda kapige kura 😅kwa hio ina maana hata Mazarau (Mazraoui) jana haukumuona jinsi alivyokua anakichafua? View attachment 3072477
mnaojua mpira mmebeba nini last season?Hua tunasema nyumbu hawajui mpira kila msimu wanathibitisha.
Jana wameshinda 1 wanaongoza ligi.
Wanaanza kutamba kwamba it's cold.
Hawajui kua mechi zingine zinachezwa leo na watu watafungana magoli mengi
Community shield.mnaojua mpira mmebeba nini last season?