Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Niliwahi sema Aaron kamzidi footwork Leno ila shot stopping ameachwa leo ni uthibitisho mwingine.

Shots alizozuia Leno kwa Onana zile ni kamba. Fulham mid yao inakata, forward yao haina muunganiko pia. Ni defense tu ndiyo inaonekana inajua inachofanya.

Huyu Amad ni mzuri kwenda mbele, akimaster na defense atakua mwiba sana ule upande wake, Fulham wanatumia sana upande wake kuliko wa Rashford.

Emile naona Arsenal hatukukosea kumuacha aende, yeye pia kafanya uamuzi mzuri ili apate game time na kuondoa huu ubutu.
 
Nyumbu alisuluhu na Academy ya City kwenye community shield. Upuuzi wanaofanya leo siyo bahati mbaya
 
Hao ni wazee wa false hopes huwezi badilisha mindset zao.
Mkuu Castr Joshua Zirkzee umemuona lakini?
Haaland ana mengi sana ya kujifunza kutoka kwa teka la boli Jay-Z.
GVIgtg_XsAAVd3L.jpg
 
Hua tunasema nyumbu hawajui mpira kila msimu wanathibitisha.

Jana wameshinda 1 wanaongoza ligi.

Wanaanza kutamba kwamba it's cold.

Hawajui kua mechi zingine zinachezwa leo na watu watafungana magoli mengi
 
Hua tunasema nyumbu hawajui mpira kila msimu wanathibitisha.

Jana wameshinda 1 wanaongoza ligi.

Wanaanza kutamba kwamba it's cold.

Hawajui kua mechi zingine zinachezwa leo na watu watafungana magoli mengi
mnaojua mpira mmebeba nini last season?
 
Back
Top Bottom