Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nawaona manyumbu huko kwenye mitandao mingine bado wanamuandama Saka kwamba eti yeye ndio aliyesababisha lile goli la pili kwa kumuachia mwanya cucurella akapiga ule mpira mrefu uliozaa goli.

Wanasahau kwamba Saka alikuwa na kazi kubwa sana ya kushambulia na muda huo huo kukaa karibu na Nico william kumsaidia Walker, maana Walker peke yake tu alionekana hamuwezi yule dogo, mbali na hivyo pia Saka alihusika kwenye build up ya goli walilopata England.

Halafu walivyokuwa wanafiki kuna hiki kitoto chao ambacho walikiimba sana baada ya kushine kwenye mechi mbili tu, mechi ya jana kilikuwa kina slow down mipira tu, pass karibu zote kilizopiga kwenda mbele hazikuzaa matunda kwa sababu ya timing mbovu... lakini hatuwaskii kabisa wakikiongelea jinsi kilivyo flop, wao wanakomaa na Saka tu.
1721073086448.jpg
 
Nawaona manyumbu huko kwenye mitandao mingine bado wanamuandama Saka kwamba eti yeye ndio aliyesababisha lile goli la pili kwa kumuachia mwanya cucurella akapiga ule mpira mrefu uliozaa goli.

Wanasahau kwamba Saka alikuwa na kazi kubwa sana ya kushambulia na muda huo huo kukaa karibu na Nico william kumsaidia Walker, maana Walker peke yake tu alionekana hamuwezi yule dogo, mbali na hivyo pia Saka alihusika kwenye build up ya goli walilopata England.

Halafu walivyokuwa wanafiki kuna hiki kitoto chao ambacho walikiimba sana baada ya kushine kwenye mechi mbili tu, mechi ya jana kilikuwa kina slow down mipira tu, pass karibu zote kilizopiga kwenda mbele hazikuzaa matunda kwa sababu ya timing mbovu... lakini hatuwaskii kabisa wakikiongelea jinsi kilivyo flop, wao wanakomaa na Saka tu.View attachment 3043451
Huyu Mauno bado sana aisee, man u wakijichanganya wakamtegemea msimu ujao atawaingiza shimoni, mchezaji yupo slow sanaaa. Anapoozesha mashambulizi.
 
Nawaona manyumbu huko kwenye mitandao mingine bado wanamuandama Saka kwamba eti yeye ndio aliyesababisha lile goli la pili kwa kumuachia mwanya cucurella akapiga ule mpira mrefu uliozaa goli.

Wanasahau kwamba Saka alikuwa na kazi kubwa sana ya kushambulia na muda huo huo kukaa karibu na Nico william kumsaidia Walker, maana Walker peke yake tu alionekana hamuwezi yule dogo, mbali na hivyo pia Saka alihusika kwenye build up ya goli walilopata England.

Halafu walivyokuwa wanafiki kuna hiki kitoto chao ambacho walikiimba sana baada ya kushine kwenye mechi mbili tu, mechi ya jana kilikuwa kina slow down mipira tu, pass karibu zote kilizopiga kwenda mbele hazikuzaa matunda kwa sababu ya timing mbovu... lakini hatuwaskii kabisa wakikiongelea jinsi kilivyo flop, wao wanakomaa na Saka tu.View attachment 3043451
Kwenye michuano huyo bora huyo dogo kuliko alichokuwa anakifanya rice ni aibu nyinyi wenyewe mnajua
 
Nawaona manyumbu huko kwenye mitandao mingine bado wanamuandama Saka kwamba eti yeye ndio aliyesababisha lile goli la pili kwa kumuachia mwanya cucurella akapiga ule mpira mrefu uliozaa goli.

Wanasahau kwamba Saka alikuwa na kazi kubwa sana ya kushambulia na muda huo huo kukaa karibu na Nico william kumsaidia Walker, maana Walker peke yake tu alionekana hamuwezi yule dogo, mbali na hivyo pia Saka alihusika kwenye build up ya goli walilopata England.

Halafu walivyokuwa wanafiki kuna hiki kitoto chao ambacho walikiimba sana baada ya kushine kwenye mechi mbili tu, mechi ya jana kilikuwa kina slow down mipira tu, pass karibu zote kilizopiga kwenda mbele hazikuzaa matunda kwa sababu ya timing mbovu... lakini hatuwaskii kabisa wakikiongelea jinsi kilivyo flop, wao wanakomaa na Saka tu.View attachment 3043451
Nyumbu wanaingia kwenye ligi huku wakikitegemea hiki kitoto Kama kiungo tegemezi

Mimi ninachojua nyumbu wameshika points zetu 6
 
Nawaona manyumbu huko kwenye mitandao mingine bado wanamuandama Saka kwamba eti yeye ndio aliyesababisha lile goli la pili kwa kumuachia mwanya cucurella akapiga ule mpira mrefu uliozaa goli.

Wanasahau kwamba Saka alikuwa na kazi kubwa sana ya kushambulia na muda huo huo kukaa karibu na Nico william kumsaidia Walker, maana Walker peke yake tu alionekana hamuwezi yule dogo, mbali na hivyo pia Saka alihusika kwenye build up ya goli walilopata England.

Halafu walivyokuwa wanafiki kuna hiki kitoto chao ambacho walikiimba sana baada ya kushine kwenye mechi mbili tu, mechi ya jana kilikuwa kina slow down mipira tu, pass karibu zote kilizopiga kwenda mbele hazikuzaa matunda kwa sababu ya timing mbovu... lakini hatuwaskii kabisa wakikiongelea jinsi kilivyo flop, wao wanakomaa na Saka tu.View attachment 3043451
Ndio maana walifungwa, katoto badala kacheze mpira kamekaa kanakanda NGANO 😂, kanaonekana ni kapiga nyeto sana haka. 😂🤣
 
Nawaona manyumbu huko kwenye mitandao mingine bado wanamuandama Saka kwamba eti yeye ndio aliyesababisha lile goli la pili kwa kumuachia mwanya cucurella akapiga ule mpira mrefu uliozaa goli.

Wanasahau kwamba Saka alikuwa na kazi kubwa sana ya kushambulia na muda huo huo kukaa karibu na Nico william kumsaidia Walker, maana Walker peke yake tu alionekana hamuwezi yule dogo, mbali na hivyo pia Saka alihusika kwenye build up ya goli walilopata England.

Halafu walivyokuwa wanafiki kuna hiki kitoto chao ambacho walikiimba sana baada ya kushine kwenye mechi mbili tu, mechi ya jana kilikuwa kina slow down mipira tu, pass karibu zote kilizopiga kwenda mbele hazikuzaa matunda kwa sababu ya timing mbovu... lakini hatuwaskii kabisa wakikiongelea jinsi kilivyo flop, wao wanakomaa na Saka tu.View attachment 3043451
Ndio maana walifungwa, katoto badala kacheze mpira kamekaa kanakanda NGANO 😂, kanaonekana ni kapiga nyeto sana haka.
 
|| Arsenal󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 are reportedly now prepared to pay the requested £86m, to Sporting CP for Viktor Gyökeres [Via - @StandardSport / @LeoninoPT].

Zinaanzaga Kama rumors
 
Arsenal will be sending a bolstered squad for their US pre-season tour — but without their England stars.

Declan Rice, Bukayo Saka, Aaron Ramsdale and David Raya will not be on the tour, owing to an extended rest period after Sunday’s Euros final.

But all the other squad members are expected to be present, with some joining the team later in the first week in Los Angeles.

The Gunners face Bournemouth and Manchester United in Los Angeles on July 24 and 27 respectively, before taking on Liverpool in Philadelphia on July 31.
IMG-20240716-WA0010.jpg
 
How about Midfielder?

Kutoka vyanzo vyangu vya kuaminika deal la kuongeza kiungo litakuja kuwekwa wazi dakika za mwishoni Sana
IMG-20240715-WA0032.jpg
 
|| Arsenal󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 are reportedly now prepared to pay the requested £86m, to Sporting CP for Viktor Gyökeres [Via - @StandardSport / @LeoninoPT].

Zinaanzaga Kama rumors
£86m for someone who is yet to prove himself in any top five league??

Tumekuwa manyumbu na sisi siku hizi tunamwaga hela nyingi kwa sajili ambazo hatuna uhakika kama zitatupa output inayoendana na bei tuliyochukulia
 
Back
Top Bottom