Mwanangu flano huwa unatusagia kunguni kinomaMwanangu mwenyewe huyo Masingeli alisha Log of kitambo mno, sasa hivi anachungulia tu kama guest.
Arsenyo nimeona mmetoa uzi wenu wa Ugenini kiukweli jezi ni kali kinoma, ila jezi nzuri bila kubeba kombe ni sawa na kuwa na demu mkali halafu mashine haisimami. View attachment 3046308
Mwanangu flano huwa unatusagia kunguni kinoma


Mkikaa kizembezembe lazima tuwachangamshe kidogo.Msimu wenu wa kulialia umefikaMkikaa kizembezembe lazima tuwachangamshe kidogo.
Tutatembeza doz kinomaMkikaa kizembezembe lazima tuwachangamshe kidogo.
Tutatembeza doz kinoma


Nyie tembezeni dozi tu, halafu mwisho wa msimu makombe wanabeba wengine.Msimu wenu wa kulialia umefika


Uzuri wa anaelia mwanzo hua anacheka mwisho, nyie endeleeni kuwasindikiza wabingwa halafu ikifika mwisho wa msimu mnaanza kulialia humu.Easy.Mkikaa kizembezembe lazima tuwachangamshe kidogo.
Tumeshapata 90% ya here we go from Fabrizio Romano kwa Calafiori leo hii🤠🤠....Manyumbu yamesajili kale kapemba kanaitwa sijui Yoro sijui Yono auction Mart...bado sijalipata jina lake vzuri....mwaka jana tulifungwa goli chache....mwaka huu mwsho kufungwa goli 10🤠🤠🤠....Manunu yana point 6 zetu...Chelsea Wana points 6 zetu na magoli 10 watatuchangia....Man City Wana points 4 tena zetu...Liverkuku Wana points 6 zetu.....beki ya Timber, Saliba,Gabriel na Calafiori mbele Yao Partey na Rice goli linatokea wapi🤠🤠...Arteta kasema Partey hakuna kuondoka....sijui wale jamaa marafiki sana....atupe msimu mmoja bila majeruhi makubwa Ili hzi dharau za kutoka kwa kina Flano ziishe|| Arsenal
are reportedly now prepared to pay the requested £86m, to Sporting CP
for Viktor Gyökeres
[Via - @StandardSport / @LeoninoPT].
Zinaanzaga Kama rumors
Wanamuita young nestaTumeshapata 90% ya here we go from Fabrizio Romano kwa Calafiori leo hii....Manyumbu yamesajili kale kapemba kanaitwa sijui Yoro sijui Yono auction Mart...bado sijalipata jina lake vzuri....mwaka jana tulifungwa goli chache....mwaka huu mwsho kufungwa goli 10
....Manunu yana point 6 zetu...Chelsea Wana points 6 zetu na magoli 10 watatuchangia....Man City Wana points 4 tena zetu...Liverkuku Wana points 6 zetu.....beki ya Timber, Saliba,Gabriel na Calafiori mbele Yao Partey na Rice goli linatokea wapi
...Arteta kasema Partey hakuna kuondoka....sijui wale jamaa marafiki sana....atupe msimu mmoja bila majeruhi makubwa Ili hzi dharau za kutoka kwa kina Flano ziishe
Hauwezi kumtenganisha Flano na Arsenal, yani Kama ilivyokua ngumu kutenganisha mpira na wabrazil
Nitoe angalizo mechi pekee city anaweza fungwa ni ambayo Rodri achezi labda team yako ishinde kwa changamoto ya mikwaju ya penalty tu.SIARUDII NIKISEMA NIMESEMATumeshapata 90% ya here we go from Fabrizio Romano kwa Calafiori leo hii🤠🤠....Manyumbu yamesajili kale kapemba kanaitwa sijui Yoro sijui Yono auction Mart...bado sijalipata jina lake vzuri....mwaka jana tulifungwa goli chache....mwaka huu mwsho kufungwa goli 10🤠🤠🤠....Manunu yana point 6 zetu...Chelsea Wana points 6 zetu na magoli 10 watatuchangia....Man City Wana points 4 tena zetu...Liverkuku Wana points 6 zetu.....beki ya Timber, Saliba,Gabriel na Calafiori mbele Yao Partey na Rice goli linatokea wapi🤠🤠...Arteta kasema Partey hakuna kuondoka....sijui wale jamaa marafiki sana....atupe msimu mmoja bila majeruhi makubwa Ili hzi dharau za kutoka kwa kina Flano ziishe
Wale wajinga tu....mwaka jana tumewafunga bila Rodri....mwaka huu tutawadunda na hyo Rodri wao akiwa ndani....Nitoe angalizo mechi pekee city anaweza fungwa ni ambayo Rodri achezi labda team yako ishinde kwa changamoto ya mikwaju ya penalty tu.SIARUDII NIKISEMA NIMESEMA
Pariteyi efuusiii aka wali efusii aka Arsenyetoz efusii aka Wenger orphans efusii aka false hopers efusiii aka supa kompyuta efusii aka asenyani efusiiTumeshapata 90% ya here we go from Fabrizio Romano kwa Calafiori leo hii🤠🤠....Manyumbu yamesajili kale kapemba kanaitwa sijui Yoro sijui Yono auction Mart...bado sijalipata jina lake vzuri....mwaka jana tulifungwa goli chache....mwaka huu mwsho kufungwa goli 10🤠🤠🤠....Manunu yana point 6 zetu...Chelsea Wana points 6 zetu na magoli 10 watatuchangia....Man City Wana points 4 tena zetu...Liverkuku Wana points 6 zetu.....beki ya Timber, Saliba,Gabriel na Calafiori mbele Yao Partey na Rice goli linatokea wapi🤠🤠...Arteta kasema Partey hakuna kuondoka....sijui wale jamaa marafiki sana....atupe msimu mmoja bila majeruhi makubwa Ili hzi dharau za kutoka kwa kina Flano ziishe
Rodri na kdb waakiwa uwanjani team yenu yote mnageuka mabeki mlivyofanya second leg mtawafunga vipi ?Wale wajinga tu....mwaka jana tumewafunga bila Rodri....mwaka huu tutawadunda na hyo Rodri wao akiwa ndani....
Huu Uzi Ni mkali Sana dadeeki,huu lazima niununue
Dirisha bdo lipo wazi mkuu....sajilini watu wa kueleweka aisee....mkizembea tena mwaka huu sio Tano mtakula Bali ni kumi...mnaona kama masihara nnachosema ila ntakuja kuwakumbusha siku hyo nilichowaambia leoPariteyi efuusiii aka wali efusii aka Arsenyetoz efusii aka Wenger orphans efusii aka false hopers efusiii aka supa kompyuta efusii aka asenyani efusii
Msimu huu mtajuta kuingiza hicho kikundi chenu cha wanenguaji uwanjani .
Aisee mtabondwa kisasa sawa . Ile asenane inarudi mwaka huu .