Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Rodri na kdb waakiwa uwanjani team yenu yote mnageuka mabeki mlivyofanya second leg mtawafunga vipi ?
Uzuri siku zinasogea....sisi sio milima tutakutana🤠🤠....habari za Hawa mabwnaa kututambia tena zimeshaisha....sasahivi ni kupishana na kuwekeana vigingi....dk 90 zikiisha tunaangalia pale juu ubao unasomaje...ize tu
 
Arsenal the gunners
IMG-20240720-WA0033.jpg
 
Hauwezi kumtenganisha Flano na Arsenal, yani Kama ilivyokua ngumu kutenganisha mpira na wabrazil

Mambo vipi mzee baba security officer?
Aaahhhh wapi humu tunapendea comedies zenu tu, humu ndani kuna kila aina ya vichekesho, hili ni jukwaa pekee la michezo lenye vituko kuliko hata jukwaa la Jokes.
Ngoja niongee na Moderators kama vipi hili jukwaa liunganishwe tu na jukwaa la Jokes.

Shwari kabisa mzee baba, kazi ya lindo bila ya uwepo wa Epl hua hainogi kabisa, bora siku zinakaribia mchaka mchaka wa ligi uanze.
 
Aaahhhh wapi humu tunapendea comedies zenu tu, humu ndani kuna kila aina ya vichekesho, hili ni jukwaa pekee la michezo lenye vituko kuliko hata jukwaa la Jokes.
Ngoja niongee na Moderators kama vipi hili jukwaa liunganishwe tu na jukwaa la Jokes.

Shwari kabisa mzee baba, kazi ya lindo bila ya uwepo wa Epl hua hainogi kabisa, bora siku zinakaribia mchaka mchaka wa ligi uanze.
Endeleeni Kusema jokes, adhani mnaona vyuma vinavyoshushwa. Msije kusema tunanunua mechi pale tembo akiwa juu ya mti
IMG-20240723-WA0005.jpg
 
🚨 BREAKING from @David_Ornstein:


All agreements now in place for Riccardo Calafiori to join Arsenal from Bologna. šŸ‡®šŸ‡¹


The defender still needs to do medical + sign but deal essentially done. āœ…


If everything goes to plan, aim is for him to link up with Arsenal on šŸ‡ŗšŸ‡ø tour.
20240724_185732.jpg
 
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

Nianze kusema Wachezaji ni muhimu kwenye utekelezaji wa mipango ya Match na mifumo yake.

Lakini huwezi kuwa na Watekelezaji bora kama hauna mazingira rafiki yanayowafanya wafanye kazi kwa ufanisi.

Hapa nataka kusema iki kitu tunahitaji kusajili ndio ila tunahitaji pia kusajili kuendana na Mahitaji Ya mfumo wetu kiuchezaji.

Mchezaji yeyote anahitaji Mfumo bora unaompa Uhuru kufanya majukumu yake Na kwa Arsenal pale kuna kitu Msimu mzima tulikosa.

Kitu kilichopelekea upande wa Kushoto ( LHS ) kuwa Dhaifu kulinganisha na kulia ata kama unawachezaji wazuri wakikosa patterns na dyanamic na Wachezaji wenzao eneo moja hakuna kitu watafanya wataonekana Wabovu.

Kwa kutambua Ilo Arsenal kaanza usajili LB Calafiori kwa Misingi ya kuboresha dynamic kiuchezaji upande kushoto.

Ili upate Dynamic inahitaji profile fulani wachezaji wanaoweza kukupa kitu ndani plan yako.

Calafiori ana sifa karibu Zote LB wa kisasa Kwanzia namna anavyoweza kuanzisha mashambulizi kwa kuoverlap au Kuinvert midfield au Kufanya ball Carrier na bado karudi chini kukaba Tackling, Duels kimsingi anakuba balance.

Ndio Maana Arsenal wameanza hiyo kuimarisha upande kushoto alafu sasa Wataangalia LCM

Wanahusishwa na Merino licha kwamba anaweza kucheza 6 ila Asilimia kubwa uchezaji wake Sociedad ni LCM naweza kuona kitu Arsenal wanalenga.

Nimalize kusema Ukipata balance siku zote una Asilimia kubwa System kufunction kwa ufanisi mkubwa kitu ambacho ni point Muhimu kwa Team kupata matokeo chanya.

Sio kwamba Arsenal hawaoni sehemu Nyingine watasajili Oppotunity ikijitokeza ila lazima kwanza watibu tatizo kuu msimu jana ukiacha mchezaji system inahitaji efficiency ila wachezaji wawe na urahisi kutekeleza majukumu na ubora.

Amigos
IMG-20240723-WA0029.jpg
 
KIMBINU ZAIDI NA KIUFUNDI NDANI YA TAFAKURI ZA YUSSUF WA EMIRATES KUHUSU UJIO WA YULE MKATILI WA KIRUMI KWENYE VIUNGA VYA EMIRATES

nadhani tupo kwenye zama ambazo kimbinu walimu wanahitaji zaidi (ball playing CB) yani walinzi wakati wenye uwezo wa kuuchezea zaidi mpira kwa ufanisi

"build up steps zinaanzia huko kwa goal keeping na backline"

lakini ikumbukwe kwamba izo positions ni partner ambayo inaundwa na (LCB+RCB) na wote ni ball playing CB sasa leo nitakujuza roles zao

"kwanza kuna aina mbili za ball playing CB"

*ball player
*ball carrier

BALL PLAYER: huyu ni beki wakati ambae kwenye hiyo partner hutumika upande wa kushoto (LCB) ambapo chunguza izo beki zikitanua kwenye pembe za box hapo kipa anatakiwa kumpa yeye mpira kutokana uwezo wake miguuni

"mara nyingi beki huyu anakua na controll za kutosha na akiamua guard mpira huchukui kirahisi na pia ni mwepesi wa create angle ku receive ball again"

BALL CARRIER: ball carrier huyu nae ni beki wa kati ambae kwenye iyo partner hukaa upande wa kulia (RCB)
IMG-20240725-WA0015.jpg
 
KIMBINU ZAIDI NA KIUFUNDI NDANI YA TAFAKURI ZA YUSSUF WA EMIRATES KUHUSU UJIO WA YULE MKATILI WA KIRUMI KWENYE VIUNGA VYA EMIRATES

nadhani tupo kwenye zama ambazo kimbinu walimu wanahitaji zaidi (ball playing CB) yani walinzi wakati wenye uwezo wa kuuchezea zaidi mpira kwa ufanisi

"build up steps zinaanzia huko kwa goal keeping na backline"

lakini ikumbukwe kwamba izo positions ni partner ambayo inaundwa na (LCB+RCB) na wote ni ball playing CB sasa leo nitakujuza roles zao

"kwanza kuna aina mbili za ball playing CB"

*ball player
*ball carrier

BALL PLAYER: huyu ni beki wakati ambae kwenye hiyo partner hutumika upande wa kushoto (LCB) ambapo chunguza izo beki zikitanua kwenye pembe za box hapo kipa anatakiwa kumpa yeye mpira kutokana uwezo wake miguuni

"mara nyingi beki huyu anakua na controll za kutosha na akiamua guard mpira huchukui kirahisi na pia ni mwepesi wa create angle ku receive ball again"

BALL CARRIER: ball carrier huyu nae ni beki wa kati ambae kwenye iyo partner hukaa upande wa kulia (RCB)
View attachment 3051620
Not necessary, kuna LCB ambao ni carrier wazuri i.e Van dijk.
 
Dirisha bdo lipo wazi mkuu....sajilini watu wa kueleweka aisee....mkizembea tena mwaka huu sio Tano mtakula Bali ni kumi...mnaona kama masihara nnachosema ila ntakuja kuwakumbusha siku hyo nilichowaambia leo
Sisi ni taito kontenda msimu huu ,msitutanie kabisa , tutatembeza makonzi na mbata hamtaamini.
Mtajuta kukutana na kikosi cha machampioni pekee wa UEFA London , machampioni WA mwisho kubeba Epl na kuuleta london ,wababe pekee walioleta Europa League title bila kusahau World club championship title pale London .
Mtapiga saluteeee msimu huu , We are back
 
Back
Top Bottom