arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Msimu ujao ntaanza ku screenshot mitusi yenu...ipo mingi tu ila huwa tunaangalia tunaachana nayo....ila msimu uliopita kocha wenu katukanwa sanaMkuu arsenal2004 kwenye suala la kumtukana kocha kwa Man utd unatuonea, timu la matusi linajulikana na ushahidi upo mwingi sana wa kutosha. View attachment 3008348
Sisi wala hatujali. Stats zake EPL zinambeba na kwetu anafaa. Deschamps afanye atakavyo.Hili garasa lenu litakaa bench huko Euro. Kama Garasa kama upamecano anaanza mbele ya huyu mnaeamini kuwa ndio beki bora epl, jiulizeni mara mbili mbili. Tafuteni beki wa kueleweka.View attachment 3009175
Huyu bado tunaye sana tu.Ni kwli watani wetu....ila msimu ujao hatutaki ikifika January muanze kumtukana 10 hag tena...maana nyny hamna fadhila kabisa....mkifungwa mechi kumi tu mnaanza kutukana🤠🤠
Sasa ukikuta wenyewe wanavyomsifia utadhani akiwepo yeye arsenal huwa haipigiwi shot on goal hata moja au haijawahi kufungwa kabisa.Hili garasa lenu litakaa bench huko Euro. Kama Garasa kama upamecano anaanza mbele ya huyu mnaeamini kuwa ndio beki bora epl, jiulizeni mara mbili mbili. Tafuteni beki wa kueleweka.View attachment 3009175
@hamis77 amemtukana Ten Hag misimu miwili mfululizo kilichotokea kila msimu anakombe ameishia kuugua tumbo la kuhara na bawasiri mpaka kakimbia jukwaa.Ni kwli watani wetu....ila msimu ujao hatutaki ikifika January muanze kumtukana 10 hag tena...maana nyny hamna fadhila kabisa....mkifungwa mechi kumi tu mnaanza kutukana
Kocha yule chizi.Sisi wala hatujali. Stats zake EPL zinambeba na kwetu anafaa. Deschamps afanye atakavyo.
Katika maisha haya yasiyotabirika nimejifunza saana umuhimu wa kuinjoi moments badala ya mwisho wa jambo.
Arsenal ni mashabiki pekee waliokuwa na furaha kwa msimu mzima.mwisho wa msimu ndo hatukufurahi kama tulivyotarajia and we are okay
Mkuu umenena la maana sana. Miaka miwili mfulilzo 85% ya msimu, tupo zetu na furaha mia mia. Wakati huo mashabiki wa timu pinzani wanapata maumivu mara mbili.Katika maisha haya yasiyotabirika nimejifunza saana umuhimu wa kuinjoi moments badala ya mwisho wa jambo.
Arsenal ni mashabiki pekee waliokuwa na furaha kwa msimu mzima.mwisho wa msimu ndo hatukufurahi kama tulivyotarajia and we are okay
Ndio maisha mliochagua kufurahia mpira mzuri.Kwahiyo ndo mmemaliza au?
Temeni nyongo zenu mpaka mchoke,
Muda unakuja wa nyie kuteseka na sisi kufurahia maisha kwa mpira mzuri
haki ya mama nikipitia hivi vichekesho mimi naisha🤣🤣🤣🤣Madrid Jana bila kipa wao Lunin wangepigwa nyingi tu
Ndio maana namuomba Madrid sana ,
Yaan UCL wakumtoa mancity hazizid timu 2
Carragher anasema anaomba robo fainal tukutane na mancity sababu Arsenal ni Moja ya timu chache sana za kumtoa mancity
Yule Madrid wanaweza kumpiga nyingi
hamis77 ukamatwe na unyongwe sio kwa izi mambo hafu umewakimbia wenzio🤣🤣🤣 mimi naisha kabisa 😁 🤭Juzi Madrid kapelekewa moto ,shukran ziende Kwa Lunin angekuwa Kepa wangepigwa hata 3
Bayern Munich wamepata on target 1 sijui hawajapata kabisa vs Lazio
Niliwahi kusema humu UCL timu nyingi zile giants ni zimeshuka
Madrid namuomba usiku na mchana,
Timu ambayo itatuumiza kichwa ni Mancity maana mbinu ni nyingi , Wachambuzi wanasema Arsenal ni Moja ya timu chache sana zinazoweza kumtoa city kule UCL akifuatiwa na Inter Milan
Binafsi naomba Mancity atolewe wakimshindwa turapambana nae wenyewe
Na wasiwasi Madrid au Bayern kuna mmoja hatafika nusu final,viwango vyao Kwa UCL haviridhishi ,nilisema toka mwanzo mwa msimu
Kwa kiwango Cha Madrid ile na leipzig angekutana na Arsenal Hii au Mancity wangempiga si chini ya goli 3.
Habari njema ,mechi 15 za mwisho tutakuwa na full squad ,
Habari njema nyingine
Iwapo Chelsea atasonga mbele kwenye FA cup vs Leeds ,basi mechi ya Arsenal vs Chelsea itasogezwa mbele ,hivo kuanzia tarehe 12 had 30-31 ,Arsenal hatutakuwa na mechi yoyote ,hii ni likizo nzuri kama ile ya Dubai , hizo ni wiki mbili kabisa ,kumbuka hapo injuries zitakuwa zimerejea
Partey anayetarajiwa week ijayo vs Porto
Vieira atakuwepo vs Porto
Timber atakuwepo vs Porto 2nd leg
Tomiyasu amesharejea
Jorginho amesharejea full training
Jesus amesharejea but atapumzika week hii
Zincheko amesharejea but ,anaweza akapumzishwa
Smith rowe pia atakuwa amerejea ,Arsenal walichukua tahadhari but Hana injury kubwa
Kwasasa hadi mwisho wa mwezi huu mechi zilizopo zipo ndani ya uwezo wetu kukusanya points zote
Tunaanza na Burney
View attachment 2905054
Hiyo bawasiri uliyopata kwa kukosa ubingwa wa ligi umepona ?Juzi Madrid kapelekewa moto ,shukran ziende Kwa Lunin angekuwa Kepa wangepigwa hata 3
Bayern Munich wamepata on target 1 sijui hawajapata kabisa vs Lazio
Niliwahi kusema humu UCL timu nyingi zile giants ni zimeshuka
Madrid namuomba usiku na mchana,
Timu ambayo itatuumiza kichwa ni Mancity maana mbinu ni nyingi , Wachambuzi wanasema Arsenal ni Moja ya timu chache sana zinazoweza kumtoa city kule UCL akifuatiwa na Inter Milan
Binafsi naomba Mancity atolewe wakimshindwa turapambana nae wenyewe
Na wasiwasi Madrid au Bayern kuna mmoja hatafika nusu final,viwango vyao Kwa UCL haviridhishi ,nilisema toka mwanzo mwa msimu
Kwa kiwango Cha Madrid ile na leipzig angekutana na Arsenal Hii au Mancity wangempiga si chini ya goli 3.
Habari njema ,mechi 15 za mwisho tutakuwa na full squad ,
Habari njema nyingine
Iwapo Chelsea atasonga mbele kwenye FA cup vs Leeds ,basi mechi ya Arsenal vs Chelsea itasogezwa mbele ,hivo kuanzia tarehe 12 had 30-31 ,Arsenal hatutakuwa na mechi yoyote ,hii ni likizo nzuri kama ile ya Dubai , hizo ni wiki mbili kabisa ,kumbuka hapo injuries zitakuwa zimerejea
Partey anayetarajiwa week ijayo vs Porto
Vieira atakuwepo vs Porto
Timber atakuwepo vs Porto 2nd leg
Tomiyasu amesharejea
Jorginho amesharejea full training
Jesus amesharejea but atapumzika week hii
Zincheko amesharejea but ,anaweza akapumzishwa
Smith rowe pia atakuwa amerejea ,Arsenal walichukua tahadhari but Hana injury kubwa
Kwasasa hadi mwisho wa mwezi huu mechi zilizopo zipo ndani ya uwezo wetu kukusanya points zote
Tunaanza na Burney
View attachment 2905054