Unafanya kazi nzuri kufuatilia mijadala.Hii ya leo itakua ni ya Unga LTD.
Na tutabaki kuwa na furaha. Tukiendelea hivi sisi tunajua tutakuja kutoboa tu. Nyie mnaangalia mikono mitupu yetu, sisi tunafurahia safari yetu. Hamwezi kutuelewa kwa nini tuna furaha na hicho kitu kinawauma. Hiki kichaka cha makombe mnachojifia, muda si mrefu tutakifyeka. Ila kama kawaida ya wachawi, mtatafuta kingine.
Acha maneno mbofu mbofu. Tushirikiane tena kuanzia mwezi wa 8 kupambana na 115 FC na Kipara wao. Msitutelekeze tena bwana.Wasindikizaji FC katika ubora wenu
Hesabuni miaka mingine 20
Hakuna ushirikiano kwenye kupata kombe😂😂😂Acha maneno mbofu mbofu. Tushirikiane tena kuanzia mwezi wa 8 kupambana na 115 FC na Kipara wao. Msitutelekeze tena bwana.
Kati ya real Madrid na Dortmund nan akishinda UEFA atakuwa na feelings au emotional.........Madrid litakuwa kombe la 15 kiufupi Hakuna hata excitement Ni swala la kawaida hauwezi ona wanapayuka hovyo ...
2012 hata wewe hukua unashabikia City.Kati ya real Madrid na Dortmund nan akishinda UEFA atakuwa na feelings au emotional.........Madrid litakuwa kombe la 15 kiufupi Hakuna hata excitement Ni swala la kawaida hauwezi ona wanapayuka hovyo ...
Man city PL trophy sio kitu cha ajabu ,ishakuwa normal kabisa ,kombe tunanyanyua Kila mwaka ...Freeling na emotion Ni la mwaka 2012 na 2013 ....saizi it's normal
Kama sio man city nishabikie timu gani au unafikili mim nimeshabikia mpira Kwa kufuata mashati na kelele za mtaani ,mim nimeshabikia mpira Kwa kuangalia sio Kwa kurithi ....2012 hata wewe hukua unashabikia City.
Hata Diaz na Nunez mkiwaona mmewashindwa, tupeni sisi tuwaonyeshe namna ya kuwafanya wawe bora.Guardiola anamuuza Kalvin Phillips uko wazee wanku unlock wachezaji wabovu nendeni mkamchukue.
Zincheko
Jesus
Haverts magarasa yote haya mume ya unlock
Chunga maneno yako. Tusije kutafutana katikati ya ligi maji yakiwafikia kooni na sisi ndiyo tukabaki kuwa wakombozi wenu pekee....Hakuna ushirikiano kwenye kupata kombe😂😂😂
Juhudi zako ndizo zinazokupa kombe
Tumeanza hoja vizuri kufika kuambiwa hukua unashabikia hii timu umeanza kuita watu haters.Kama sio man city nishabikie timu gani au unafikili mim nimeshabikia mpira Kwa kufuata mashati na kelele za mtaani ,mim nimeshabikia mpira Kwa kuangalia sio Kwa kurithi ....
Unajua haters kama nyie huwa nawashangaa ,mpaka mnatafuta quotation fake kuichafua city ,hadi huruma
Fake news ....fake everything...
Imagine mtu anashangilia carabao kwa mbwembwe nyingi kabisaHakuna ushirikiano kwenye kupata kombe😂😂😂
Juhudi zako ndizo zinazokupa kombe
Wewe kombe lolote lako la msimu huu lipo wapi?Imagine mtu anashangilia carabao kwa mbwembwe nyingi kabisa
Hivi hatukuenda robo za champions league kweli?Asenyani huu ndio msimu wemu bora sio
Ndio msimu wenu bora huoHivi hatukuenda robo za champions league kweli?
Mim nafuata kile kitu moyo unapenda mkuu ,sishabikii timu Kwa kuangalia wingi WA mashabiki ,mim ndio natazama mpira kwenye tv kwanin nianze kupoteza muda kuanza kuangalia watu wanasema nin ,wakati macho yangu yanaona,,,Tumeanza hoja vizuri kufika kuambiwa hukua unashabikia hii timu umeanza kuita watu haters.
Ok sawa. Share picha ya 2012 mkiwa mnashabikia ubingwa ambayo itaonyesha mashabiki ni wengi kuzidi picha ya nyumbu au Arsenal wakiwa wameshijda kombe lolote