Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaan Nyie ni mafuta ya taa sana, yaani mnaamini kuwa Aston vila ndio kawakosesha ubingwa, hivi amuwazii hata City kuna mechi walipoteza kizembe na wanajutia vile vile,gape pengine lingekua hat point 5
 
tunakumbushana
 
Mfano ligi ingekua inaanza kesho kutwa ni timu gani ina uhakika wa kuifunga Arsenal?
 
Arsenal kubeba EPL labda kombe mliibe mkimbie nalo hakuna njia nyingine ya nyie kubeba EPL tofauti na hiyo ni kuliiba tu.
huu ushauri umfikie arteta next season jaribuni kutumia hii mbinu maana hizi za uwanjani zishashindikana nasema uongo false hopers ndugu zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…