Kudus akija Arsenal tutamkataa.Saka, saka, saka.
Anapaswa afanye sana kazi ya ziada kwa kweli.
Hivi saka akienda west ham ama Everton atakuw bora hivi, je kudus akija arsenal nafasi ya saka atashi dwa kufanya bora zaidi ya saka?
Kudus anacheza timu ambayo inategemea sana long balls na kuzishambulia spaces za mpinzani. Ambazo hizi unazipata kama mpinzani anakukaba kwa high pressing au hakufanyii low block.
Arsenal tunafanyiwa sana low block, Kudus akija itabidi aadopt kucheza kama Saka au asubiri game ambayo itaonekana transition na counter zitaleta majibu.
Muone Grealish akiwa Villa. City wakalipa 100M ila jamaa hakuscore karibia msimu mzima. Na akicheza huoni impact, nafikiri ndiyo maana Doku pia anakaa bench kwa sababu kama hizi.




