Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,396
moaning loserMlisema first half mtaongoza nne bila kenge nyie.
moaning loserMlisema first half mtaongoza nne bila kenge nyie.
Timu za Epl hovyo sana. Hawa Fulham unaona kbs wancheza ilimradi. Hata westham na totenham nao hovyo tu.Fulham 1 - 3 City
Spurs 0 - 6 City
City 5 - O West ham
Ile movie nzuri ya kuvutia na kusisimua ya Aser8 kuchukua ubingwa, mwishoni inaenda kuishia kuwa movie ya Mazombie.
Shida nn kwani🤠🤠🤠...mbona una kiherehere sana mkuu....tumecheza mpira mbovu tumepata point 3....kuna tatizo kwani sheheMlisema leo mnarudisha zile nane
Sikumbuki pia Arsenal huko kabla pamoja na ubovu aliowahi kuwa nao alishawahi kumaliza league akiwa na negative(-ve) goal difference. Kitu ambacho nakiona kwa Man utd kinaenda kutokea. Poor Man utdsasa kama mmeshinda kipapatu papatu kwa man u iliyojiishia hii beki casemiro na evans zile nane mtaludisha lini.🤣🤣🤣
Je wajua Wenger orphans ndo timu pekee kubwa pale EPL aina record ya kumfunga man u goal kuanzia 4 toka EPL ianzishwe. tuonane msimu ujao.View attachment 2988893