IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,805
- 7,258
Mlisema first half mtaongoza nne bila kenge nyie.
moaning loserMlisema first half mtaongoza nne bila kenge nyie.
Timu za Epl hovyo sana. Hawa Fulham unaona kbs wancheza ilimradi. Hata westham na totenham nao hovyo tu.Fulham 1 - 3 City
Spurs 0 - 6 City
City 5 - O West ham
Ile movie nzuri ya kuvutia na kusisimua ya Aser8 kuchukua ubingwa, mwishoni inaenda kuishia kuwa movie ya Mazombie.
Shida nn kwani🤠🤠🤠...mbona una kiherehere sana mkuu....tumecheza mpira mbovu tumepata point 3....kuna tatizo kwani sheheMlisema leo mnarudisha zile nane