Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kaangalie takwimu kaka. Saliba hakuna beki mule kama unabisha muulize Didier Dechamp
Ngoja nikacheki, lakini suala la kucahgua mchezaji wa kocha ni mapenzi yake.. giroud vs benzema, tchoumeni vs camavinga, kai vs jesus, mjomba NTIBAZOKIZA ๐Ÿคฃ
 
Jorginho atabaki Arsenal msimu ujao.
Amesaini mkataba mpya nadhani wa mwaka mmoja.
 
Bila hili kombe ,shabiki yeyote WA Arsenal Hakuna kitu anaweza nambia kabisa๐Ÿ˜‚
 

Attachments

  • mancity-20231213-0002.jpg
    158.5 KB · Views: 9
Sio mbaya, mo elneny aliongezewa mkataba na muda mwingi alikua akiutumia benchi/wodini ila Jorginho yeye anakupa guarantee ya kucheza maana sio injury prone
Elneny aliumia vibaya ndiyo maana tukamuongezea mkataba ili apate nafasi ya kupona na kurudi katika hali yake na aweze kupata timu. Bila hivyo, Arsenal waliogopa career yake itaisha . Nafikiri pia ameanza mafunzo ya ukocha muda sasa. Anaweza kujikuta anafundisha U16s au U18s.
 
Ni katika harakati za kukumbushana tuu, tusichukiane wakuu.

Kukumbushana tu ndugu zetu vibwengo wa arteta.

1. CARABAO: MMETOLEWAโŒโŒโŒโŒ

2. FA CUP: MMETOLEWAโŒโŒโŒโŒ

3. UEFA CHAMPIONS LEAGUE: MMETOLEWAโŒโŒโŒโŒ

4. PREMIER LEAGUE: BADO MNADANGANYANA MTASHINDA(๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž๐Ÿ”ž)
 
Sasa hao wachawi iliowatag hapo, unawaita kwa sababu gani?

๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€

Sisi tumesema tu 'ikitokea tumeshinda', tutapiga bonge moja la parade. Hatujasema 'tutashinda na kufanya bonge la parade'.
 

Attachments

  • 20240510_011222.jpg
    205.1 KB · Views: 9
Nyumbu apigwe ngapi?
Binafsi nashauri apigwe 5, kuweka sawa GD

Bingwa wa msimu huu ataamauliwa na GD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ