Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hadi sasa jukwaa limepumzika. hayawani karibu wote( kenge,nyumbu,kuku kishingo) walijikusanya kutuchawia
 
🤣 oya tukutane trh 12
 

Attachments

  • IMG_20240504_174954.jpg
    IMG_20240504_174954.jpg
    440.5 KB · Views: 8
Saka mchezaji wa mfumo kivipi wakati anacheza na injuries, na Kila mechi lazima acheze, hata muda wa kupumzika hana, plus umri wake bado mdogo??
Nimetizama game kwa utulivu mpaka dk ya 80 hivi.
Mengi nimeyaona si mapya ni yale yale... Ubora wa partey hili jamaa, nasikitika tumechelewa kulipata na injuries zake.
ubora wa declan rice akiwa LCM
Shida za kai(nishazizoea na kukubaliana n uhalisia, ndio chaguo la mwalim)

Lakini kubwa kabisa ni huyu saka, ajiangalie saana, saka namuona ni mchezaji wa mfumo huyu, je akienda everton ataweza kushine hivi, je akienda pale man u atakuwa na nusu ya ubora wake hapa arsenal?

Kichekesho kuna muda mtaalam kai alikuja chini kuchukua mpira kwa tomiyasu akamfukuza na kumpasia mwingine.
 
Tumefikisha mechi za ushindi 26 kwenye ligi, ambayo ni sawa na rekodi ya juu tuliyowahi kuifikia. Tukishinda tena tunaweka rekodi mpya.
 
Hii mechi haina haja hata ya kuiongelea.

Wote tulijua tunashinda na imekua hivyo.

Ila yule Solanke naamini ni mchezaji mzuri ila kwa Arsenal ya sasa ni rotational kuliko starter
 
Sema nini nyie matakataka, mukishinda mechi zilizobaki na city akashinda mutakuwa hamuna maana Tena. Koz city atabeba ubingwa Tena halafu nyie mbuzi tumewapa dhamana ya kupambana nao munashindwa tu kama livakuku alivyoshindwa. Hivyo sisi Chelsea tutarudi musimu ujao kukamata usukani maana ninyi na matakataka livakuku mutakuwa mumefeli.
 
Sema nini nyie matakataka, mukishinda mechi zilizobaki na city akashinda mutakuwa hamuna maana Tena. Koz city atabeba ubingwa Tena halafu nyie mbuzi tumewapa dhamana ya kupambana nao munashindwa tu kama livakuku alivyoshindwa. Hivyo sisi Chelsea tutarudi musimu ujao kukamata usukani maana ninyi na matakataka livakuku mutakuwa mumefeli.
Ollashoga mama la mama
 
Una ajenda ya Siri na Kai...leo amecheza a complete game....sijaona ufala mkubwa... fighting spirit yake ni kubwa sana...Havertz hawezi kuwa Jesus hata siku moja na Jesus hawezi kuwa Kai...hili mnabidi mlizoee tu ndugu zetu🤠🤠
Kama uliwahi kusoma coments za nyuma utanielewa, nishawahi kusema, kai ataonekana atleast na kina luton, hizi ni game zake kwangu mimi, nadhani hii niliandika siku ya game vs bayern.

Kuonekana kwa kai ni kwa sababu nyingi lakini udhaifu wa adui unachangia, humuoni kai kisa mzuri sana, ila pia mpinzani ni mbovu.

Sijamponda kai, ila nimeandika mambo ya kai nishayazoea.. sidhani kama kauli hiyo ina maana kacheza vibaya, haya mambo ya kupasiwa mpira ukamponyoka, akapata mpira wa kwenda mbele akarudi nyuma, sehem ya kufosi akaenda slow. Ni vitu vya kawaida, binafsi sipendi niwe na mtu wa mwisho wa namna hiyo, ndio maana hata Oliver GIROUD sikuwahi kumpenda. Bila shaka umenielewa mkurungenzi
 
Una ajenda ya Siri na Kai...leo amecheza a complete game....sijaona ufala mkubwa... fighting spirit yake ni kubwa sana...Havertz hawezi kuwa Jesus hata siku moja na Jesus hawezi kuwa Kai...hili mnabidi mlizoee tu ndugu zetu🤠🤠
😂😂 nimzoee mara ngapi, ukisoma coment yangu nimeandika, nishamzoea 😂
 
Nimetizama game kwa utulivu mpaka dk ya 80 hivi.
Mengi nimeyaona si mapya ni yale yale... Ubora wa partey hili jamaa, nasikitika tumechelewa kulipata na injuries zake.
ubora wa declan rice akiwa LCM
Shida za kai(nishazizoea na kukubaliana n uhalisia, ndio chaguo la mwalim)

Lakini kubwa kabisa ni huyu saka, ajiangalie saana, saka namuona ni mchezaji wa mfumo huyu, je akienda everton ataweza kushine hivi, je akienda pale man u atakuwa na nusu ya ubora wake hapa arsenal?

Kichekesho kuna muda mtaalam kai alikuja chini kuchukua mpira kwa tomiyasu akamfukuza na kumpasia mwingine.
Hili la Rice kua namba namba 8 mwenye faida na tishio zaid kuliko kua namba 6 , kila mara hua nalizungumza kua Arteta na Rice wasitudanganye kua yeye ni 6. Kwa tunaojua na tunaoona ni kua yeye ni 8 mwenye balaa saana..

Hhahahaha iyo ya Kai na Tommy niliiona yan anataka pasi ya kitoto kabisa apewe hakukua na maana ya kupewa pasi ile na tommy kwel alimtimua
 
Mikel Arteta on the controversial VAR decisions:

🗣️: “The honest answer is I haven’t seen any of the incidents because I knew you were going to ask me. I did it on purpose. The analysts said do you want to watch it and I said no because then I can tell the truth.”
 
Hili la Rice kua namba namba 8 mwenye faida na tishio zaid kuliko kua namba 6 , kila mara hua nalizungumza kua Arteta na Rice wasitudanganye kua yeye ni 6. Kwa tunaojua na tunaoona ni kua yeye ni 8 mwenye balaa saana..

Hhahahaha iyo ya Kai na Tommy niliiona yan anataka pasi ya kitoto kabisa apewe hakukua na maana ya kupewa pasi ile na tommy kwel alimtimua
Akiwa namba 6 hanogi sana, hapo LCM ni balaa

Nilicheka, nikawaza vingi 😂, kai amshukuru mnooo arteta, ikiwezekana ampunguzie mshahara wake.
 
Akiwa namba 6 hanogi sana, hapo LCM ni balaa

Nilicheka, nikawaza vingi , kai amshukuru mnooo arteta, ikiwezekana ampunguzie mshahara wake.
Rive inabid acheze pale pale namba 8, atafutwe 6 wa maana tu. Vitu anavyotupa Rice kwenye 8 ni vingi sana.


Hahahha hata mim nilishangaa maana ile pasi angepewa jinsi alivyokua angeirudisha tu kwa Tommy ,,.haha
 
Back
Top Bottom