😀 😀Htutaki shobo tuacheArserefa Arsevar nyie umbwa leo mmebebwa mpaka aibu nimeona mimi, bila msaada wa refa mlikua mnakufa goli zisizopungua 6.
Moto mliopelekewa leo lazima mtafute barafu.
Mechi na United wahongeni marefa wawabebe tena wajaa laana nyie, na kombe mtaishia kuliona tu kwenye magazeti Arsenyau kabisa. View attachment 2976136
Hakuna penalty hapo... Ni uchizi wa Havertz tu. Huyu jamaa sijui kwanini huwa anapenda kujiangusha kutafuta penalty za kijinga wakati ana uwezo wa kufunga
Vipi na yule jamaa aliyejaribu kuwavunja magoti Saka na Havertz? Unajua hajapewa hata njano?Hii penalty ni aibu kubwa sana kwa refa, VAR, Epl na Varsenal kwa ujumla.
Hata kama FA wanaforce mbebe kombe lakini sio kwa mtindo huu, hii ni too much kwa kweli![]()
Hii penalty ni aibu kubwa sana kwa refa, VAR, Epl na Varsenal kwa ujumla.
Hata kama FA wanaforce mbebe kombe lakini sio kwa mtindo huu, hii ni too much kwa kwelimetokezea
Hata kama lakini sio kwa kupewa penalty ya kimagumashi namna hii.Vipi na yule jamaa aliyejaribu kuwavunja magoti Saka na Havertz? Unajua hajapewa hata njano?
...Hata kama lakini sio kwa kupewa penalty ya kimagumashi namna hii.
Hivi mnavyofanya Varsenal ni kuidhalilisha ligi yetu pendwa ya Epl.
Hata kama ni kubebwa ili Epl isionekane ni farmer's league ila hii ni too much.
Kwa hio penalty aibu nimeona mimi.
Acha uzushi bro. Sisi ndiyo tunaonewa zaidi ya kila timu kwenye ligi. Ile ilikuwa penalty halali kabisa maana kipa kamkata Havertz. Sawa Havertz ameamua kukimbia kwa style mpya ya kuburuza mguu kibishoo na kipa akauchota ule mguu. Nani ampangie Havertz style ya ukimbiaji wakati yeye ameamua kumchenga kipa na kufunga kwa madoido?Hata kama lakini sio kwa kupewa penalty ya kimagumashi namna hii.
Hivi mnavyofanya Varsenal ni kuidhalilisha ligi yetu pendwa ya Epl.
Hata kama ni kubebwa ili Epl isionekane ni farmer's league ila hii ni too much.
Kwa hio penalty aibu nimeona mimi.
Bournemouth hio penalty tutakuja kuwalipia mechi inayofata kwenye dimba la Old Trafford, hii dhuluma kwenye huu mchezo haikubaliki kwa kweli.Umetokezea kwny incident ya Penalty...matukio mengine yoote imekaa kimya....wametaka kuvunja mguu wa Saka hujacomment chchte....hzi ni dalili za kuwa mchawi mkuu ..sio bure
yani nyie ndo muwalipie dhidi yetuBournemouth hio penalty tutakuja kuwalipia mechi inayofata kwenye dimba la Old Trafford, hii dhuluma kwenye mchezo haikubaliki kwa kweli.
Hata kama FA wanaforce mpewe kombe lakini sio kwa mtindo huu, hii ni fedheha kubwa sana kwa Epl.