Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arserefa Arsevar nyie umbwa leo mmebebwa mpaka aibu nimeona mimi, bila msaada wa refa mlikua mnakufa goli zisizopungua 6.
Moto mliopelekewa leo lazima mtafute barafu.
Mechi na United wahongeni marefa wawabebe tena wajaa laana nyie, na kombe mtaishia kuliona tu kwenye magazeti Arsenyau kabisa. View attachment 2976136
😀 😀Htutaki shobo tuache
 
Hakuna penalty hapo... Ni uchizi wa Havertz tu. Huyu jamaa sijui kwanini huwa anapenda kujiangusha kutafuta penalty za kijinga wakati ana uwezo wa kufunga
 
Hii penalty ni aibu kubwa sana kwa refa, VAR, Epl na Varsenal kwa ujumla.
Hata kama FA wanaforce mbebe kombe lakini sio kwa mtindo huu, hii ni too much kwa kweli
Vipi na yule jamaa aliyejaribu kuwavunja magoti Saka na Havertz? Unajua hajapewa hata njano?
 
Jamaa wamekuwa wagumu kweli kweli tushinde hii game kwa vyovyote vile!
 
Umetokezea kwny incident ya Penalty 🤠🤠...matukio mengine yoote imekaa kimya....wametaka kuvunja mguu wa Saka hujacomment chchte....hzi ni dalili za kuwa mchawi mkuu ..sio bure
Hii penalty ni aibu kubwa sana kwa refa, VAR, Epl na Varsenal kwa ujumla.
Hata kama FA wanaforce mbebe kombe lakini sio kwa mtindo huu, hii ni too much kwa kwelimetokezea
 
Vipi na yule jamaa aliyejaribu kuwavunja magoti Saka na Havertz? Unajua hajapewa hata njano?
Hata kama lakini sio kwa kupewa penalty ya kimagumashi namna hii.
Hivi mnavyofanya Varsenal ni kuidhalilisha ligi yetu pendwa ya Epl.
Hata kama ni kubebwa ili Epl isionekane ni farmer's league ila hii ni too much.

Kwa hio penalty aibu nimeona mimi.
 
Ona aibu mkuu....mwenye nacho huongezewa🤠🤠...
Hata kama lakini sio kwa kupewa penalty ya kimagumashi namna hii.
Hivi mnavyofanya Varsenal ni kuidhalilisha ligi yetu pendwa ya Epl.
Hata kama ni kubebwa ili Epl isionekane ni farmer's league ila hii ni too much.

Kwa hio penalty aibu nimeona mimi.
...
 
People need to learn the rules. It doesn't matter if the attacker tries to initiate contact, it's still on the keeper/defender to not foul them. If they get caught, it's a foul by the laws of the game. As was the case when one wasn't given about Bayern. It shouldn't be a subjective decision for an obvious foul. Maybe the laws need to change, but that's not the current player's fault.
 
Hata kama lakini sio kwa kupewa penalty ya kimagumashi namna hii.
Hivi mnavyofanya Varsenal ni kuidhalilisha ligi yetu pendwa ya Epl.
Hata kama ni kubebwa ili Epl isionekane ni farmer's league ila hii ni too much.

Kwa hio penalty aibu nimeona mimi.
Acha uzushi bro. Sisi ndiyo tunaonewa zaidi ya kila timu kwenye ligi. Ile ilikuwa penalty halali kabisa maana kipa kamkata Havertz. Sawa Havertz ameamua kukimbia kwa style mpya ya kuburuza mguu kibishoo na kipa akauchota ule mguu. Nani ampangie Havertz style ya ukimbiaji wakati yeye ameamua kumchenga kipa na kufunga kwa madoido?
 
Umetokezea kwny incident ya Penalty ...matukio mengine yoote imekaa kimya....wametaka kuvunja mguu wa Saka hujacomment chchte....hzi ni dalili za kuwa mchawi mkuu ..sio bure
Bournemouth hio penalty tutakuja kuwalipia mechi inayofata kwenye dimba la Old Trafford, hii dhuluma kwenye huu mchezo haikubaliki kwa kweli.
Hata kama FA wanaforce mpewe kombe lakini sio kwa mtindo huu, hii ni fedheha kubwa sana kwa Epl.
 
Bournemouth hio penalty tutakuja kuwalipia mechi inayofata kwenye dimba la Old Trafford, hii dhuluma kwenye mchezo haikubaliki kwa kweli.
Hata kama FA wanaforce mpewe kombe lakini sio kwa mtindo huu, hii ni fedheha kubwa sana kwa Epl.
yani nyie ndo muwalipie dhidi yetu
labda kama mtacheza na namungo.tunakuja kuleta machozi OT
 
Back
Top Bottom