Anaelekea kuliwa banaNa haitakiwi iwe ivyo inatakiwa Liver Aliwe
kaka sijui Wana mchukuliaje ozil, ozil ile ni namba nyingine ππ₯Hakuna mchezaji, kwenye mpira ni dhmbi kubwa kumfananisha ozil na huyu mpumbavu kai.
Naona mnakandwa huku..ila kwa Mbinde sana wakuuπ€£π€£π€£Timo Werner has liked your post
Inabidi wapimwe mkojo π€£kaka sijui Wana mchukuliaje ozil, ozil ile ni namba nyingine ππ₯
Duh wahenga na misemo yenu yaki FasihiSafar bado ni ndefu mkuu.
Kuna mlima na bonde bado hatujavuja.
Liver wameshuka kuchimba dawa bahat mbaya bus kimewaacha uwenda wakatufukuzia na boda boda wakatukuta.
πππππ wamechezea kudadekiNaona ndugu zetu washaleft group huko.
Ozil football work yake ni kiwango Cha kimataifa, sio kuunga unga πInabidi wapimwe mkojo π€£
Mijusi wamekamuliwa na Mateta sioπ€£π€£π€£Mpira bwana
Wiki iliyopita wamesifia Isak leo kawa hovyo kabisa.
Niliandika ile siku kwamba wanaosema tunamhitaji wajue kwamba anascore sana magoli ya caounter na transition kwenye low block haruki.
Hata wiki haijaisha proof hii hapa.
Mateta hua namuona miyeyusho eti leo ndiye kawanyima usingizi hawa mijusi. Kuna mtu anazurura kusumbua watu mara chelsea atawafanya hiki na kile yeye leo kapigwa ndonga mbili kalegea
ππ²π€£ emirates league auMatarajio ya wapinzani wetu kwa sasa yamebaki kwa City, ambao wanategemea watashinda mechi zote huku sisi tukiambiwa tumebakiza mechi ngumu.
Wengine wanaumia kwa kutokubali kama tupo kwenye ubora kuliko timu zao na ikatokea tukashinda ligi msimu huu basi wanajua hawatopumua, na watakosa hoja kwenye EPL, kimbilio lao litabaki kwenye CL.
So again this season, we're against everyone.
Ni vizuri kuwa na wachezaji wa profile tofautitofauti, tutakuwa unpredictableMpira bwana
Wiki iliyopita wamesifia Isak leo kawa hovyo kabisa.
Niliandika ile siku kwamba wanaosema tunamhitaji wajue kwamba anascore sana magoli ya counter na transition kwenye low block haruki.
Hata wiki haijaisha proof hii hapa.
Kabla hajaanza nyondo zake, lakini baada 350K per week, hakuwa Ozil tuliyemjuakaka sijui Wana mchukuliaje ozil, ozil ile ni namba nyingine ππ₯
Honestly kwangu mimi mechi ngumu tuliyobaki nayo ni Bournemouth. Msiwachukulie poaMatarajio ya wapinzani wetu kwa sasa yamebaki kwa City, ambao wanategemea watashinda mechi zote huku sisi tukiambiwa tumebakiza mechi ngumu.
Wengine wanaumia kwa kutokubali kama tupo kwenye ubora kuliko timu zao na ikatokea tukashinda ligi msimu huu basi wanajua hawatopumua, na watakosa hoja kwenye EPL, kimbilio lao litabaki kwenye CL.
So again this season, we're against everyone.
Mwaka jana nyinyi mliongoza ligi kwa siku 258, Liverpool wao wameongoza ligi msimu huu kwa siku ngapi?Mwaka jana tulipopoteza uongozi wa points tano tuliitwa 'bottlers'
Mwaka huu liverpunda wamepoteza wao uongozi wa points tano kwetu, nane kwa city wanasema 'wame-overperform'
It is what it is View attachment 2973289
emirates league au